Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Vipi huko?! π
Hapa naona shida sio kocha wala sio wachezaji. Shida ipo kwa recruitment departmentAmkeni tufanye uchambuzi wa mechi ya jana π
Umemuona Antony lakini??Hapa naona shida sio kocha wala sio wachezaji. Shida ipo kwa recruitment department
Yupo wapiUmemuona Antony lakini??
Real Betis kashachukua MVP kwenye Game yake ya kwanza....Yupo wapi
Hapo man utd fans ndio wanapagawa kabisaReal Betis kashachukua MVP kwenye Game yake ya kwanza....
unajiuliza shida ya timu yetu ni nini unakosa majibuHapo man utd fans ndio wanapagawa kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Laana ya kumnyima timu Mwarabu na kumpa yule babu wa Kihindi haitatuacha salama.unajiuliza shida ya timu yetu ni nini unakosa majibu
Akiwemo Sheikh ze-dudu πππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Laana ya kumnyima timu Mwarabu na kumpa yule babu wa Kihindi haitatuacha salama.
Ukute Sheikh Jassim bin Hamad bin Khalifa Al Thani baada ya kunyimwa team aliwaita mashehe wenzake watusomee Al Baridi. View attachment 3223401
Nimeanza kukuelewaπMwarabu apewe timu
Huyo dialo watakuelewa kweli? Wenyewe wanamuita Messi wa kiafrika....na hapo ni kisa kawapiga hattrick wachovu wale wa ligi(Southampton) mpk sahv Wana point 9 cjui πWachezaji ambao kama mpo serious lazima muwauze,
1)Onana
2)Garnacho
3)Hojlund
4)Yoro
5)Martines
6)Maino
7)Zirkee
8)Dialo
Haya ni magarasa muyauze haraka hasa Onana kama mnaweza Onana mumuuze leo leo usiku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Laana ya kumnyima timu Mwarabu na kumpa yule babu wa Kihindi haitatuacha salama.
Ukute Sheikh Jassim bin Hamad bin Khalifa Al Thani baada ya kunyimwa team aliwaita mashehe wenzake watusomee Al Baridi. View attachment 3223401