Livescore bhana 😂 majina ya waliofunga hawajaandikwa ila majina ya waliokosa penalti yameandikwa ili kuwapa heshima 🙌

Kweli nyumbu n nyumbu bhana 😂

 
[emoji23][emoji23] Zikizee maana yake ni Zee lenye ziki, sio magoli ya wazi tu, lenyewe linakosa mpaka penalties.
Lindi loaf hapo ndio unajiuliuza tokea lini Lindi wakajua kutengeneza mikate? Jitu lipo hapo Utd tokea kipindi Muumini Mwinyijuma anaachia ile nyimbo yake maarufu ya Tunda mpaka wa leo bado linategemewa na timu.
Ile Mechi tuliyo mtoa Arsenyau tulibebwa tu na uwezo binafsi wa Altay Bayındır, sasa sijui Amoxilin ana chuki gani na huyu dogo, sawa kwenye EPL asimpe namba ila hata FA pia anambania hata kwenye Sub hayupo?
 
Altay yupo muhimbili 😁
 
🚨 DURU ZINAARIFU KUWA,RUBEN AMORIM HANA MAISHA MAREFU UNITED 🚨

Kwa mujibu wa chanzo kikubwa ch taarifa mbalimbali za soka duniani (Fichajes) kimeibua taarifa mpya inayosema:

Klabu ya Manchester United imepanga kumfuta kazi kocha mkuu wao raia wa Portugal 🇵🇹 Ruben Amorim mara baada ya msimu kumalizika.

Fichajes pia wameeleza kuwa uongozi wa United unamlenga kocha mkuu wa klabu ya Aston villa Unai Emery Kuchukua majukumu ya kuifundisha klabu hiyo baada ya Amorim kuondoka.

Source: [ Fichajes ] & [ Transfer News Live ]


FOLLOW US.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…