How many of us were disapointted by the Referee 'pathetic' and silly decisions?, sio siri aloborongo sana na kuharibu ladha ya mechi kabisa.
Forget about maamuzi yake ya ajabu ajabu ambayo kwa kiasi kikubwa yalitu-cost,sijui FA what they were thinking kumpanga refa kama Mark Relay kwenye crucial game kama ile!
A lot of Filimbi!!, a lot of Kadi!...aaghhhh!
Anyway hawa ndio marefa wa UK, coz kuna mwengine jana nimesikia kwenye ligi daraja la kwanza kawazawadia goli Reading ambalo..that never even touches the line...!