I can know feel what Benitez is feeling....

1. Liva 21 46
2. Man U 20 44
 
Last edited:
Wakubwa MANUCHO amesajiliwa na Hull City kwa mkopo hadi mwishoa wa msimu akapate uzoefu
 
Wakubwa MANUCHO amesajiliwa na Hull City kwa mkopo hadi mwishoa wa msimu akapate uzoefu

Tupo pamoja Baba. Na naona Calderon amemwaga manyanga Real Madrid. Kazi kweli kweli.
 
Leo ndiyo siku yetu ya kuanza kushika uongozi wa ligi, na endapo kesho Liver watalala au kutoka sare pale Anfield kutukuta itakuwa ngumu sana kwasababu bado tutakuwa na mechi moja mkononi.
 
Leo ndiyo siku yetu ya kuanza kushika uongozi wa ligi, na endapo kesho Liver watalala au kutoka sare pale Anfield kutukuta itakuwa ngumu sana kwasababu bado tutakuwa na mechi moja mkononi.

...bahati mbaya, utabiri wa mezani si sawa na ukweli wa uwanjani 🙂 unajua kwa nini Nziku?
...Nemaja Vidic na Rooney ndio wafungaji wenu kwa sasa, Rooney hayupo, magoli yenu Man U sasa mtegemee pressure ya mipira ya set-pieces.
 
...bahati mbaya, utabiri wa mezani si sawa na ukweli wa uwanjani 🙂 unajua kwa nini Nziku?
...Nemaja Vidic na Rooney ndio wafungaji wenu kwa sasa, Rooney hayupo, magoli yenu Man U sasa mtegemee pressure ya mipira ya set-pieces.

umemsahau Barbatov, Mkristo, Wellback na Park! Hata defense yetu mlisema hivyo hivyo baada ya kuumia Rio, Wes Brown, Owen na sasa Evra lakini tuna mechi 10 sasa bila kufungwa goli hata moja.
 
Bolton wamebana weeeeeee lakini wameachia,Berbatov kawatungua tayari dakika hii ya 90
 
...bahati mbaya, utabiri wa mezani si sawa na ukweli wa uwanjani 🙂 unajua kwa nini Nziku?
...Nemaja Vidic na Rooney ndio wafungaji wenu kwa sasa, Rooney hayupo, magoli yenu Man U sasa mtegemee pressure ya mipira ya set-pieces.

Mkuu Mbu upo?
 
Defence now imetulia ila mbele bado kucheza bila Rooney na Evra ni pengo kubwa kwenye ushambuliaji
Tumeshakaa kileleni watatukoma
 
United's win saw them equal Chelsea's record, set in 2004-05, of 10 consecutive clean sheets in the Premier League, as they bid for a third consecutive title.

Hii imetulia THANKS to VIDA and EVANS
UNITED TILL I DIE
 
Mkuu Mbu upo?

...nipo kaka 😀 ha ha ha... nilijua lile goli lenu la dakika za majeruhi Nziku utaleta kelele hapa!... safi sana. Ligi ya mwaka huu 'mpira ni dakika 90' au kwa maana nyingine, survival of the fittest!

Game za jana, kuanzia Arsenal, Chelsea, A'Villa na Man U wote wamefunga magoli ya ushindi dakika za mwisho mwisho,... duuh... kwa mtaji huu bingwa wa EPL bado hajatabirika, dont count Chelsea & A'Villa out yet!!!

Sie washika bunduki mwaka huu tunaikimbiza nafasi ya nne 🙁 'miti yote ingali inateleza!'
 
Kuna vitu vingine wala huhitaji scientific proof kujua kama viatokea...

Huhitaji test tube, huhitaji retort stand, huhitaji bunsen burner wala huhitaji reagents kama Sulphuric Acid au Nitric Acid ku-prove kama ni kweli...

Huhitaji kuambiwa mara mbili mbili kama Manutd watatetea kikombe chao msimu huu..

Huhitaji kuombwa/kushawishiwa kuwa Manutd Fan, fomu za usajili zipo...

Karibuni!

One Love One United!
 

...mnh! mnakelele nyie....!!!
 
Please Fergie dont sell TEVEZ

Huyu Mzee wetu sijui anamatatizo gani na Tevez. Anachotakiwa kufanya ni kumsubiri kama anahamu ya kuuza basi asubiri Owen apone na awe fit.
 
Huyu Mzee wetu sijui anamatatizo gani na Tevez. Anachotakiwa kufanya ni kumsubiri kama anahamu ya kuuza basi asubiri Owen apone na awe fit.


AR-GEN-TINA!
AR-GEN-TINA!

"Who's That Man From Argentina?
Who's that man from Argentina?
Who's that man they all adore?
Plays with Rooney, plays with Wes
He's our superstar Tevez
And forever at United he will score!"
 
Please Fergie dont sell TEVEZ

Huyu Mzee wetu sijui anamatatizo gani na Tevez. Anachotakiwa kufanya ni kumsubiri kama anahamu ya kuuza basi asubiri Owen apone na awe fit.

Hata mie simuelewi Mzee wetu huyu, kwa sasa sidhani km tuna haja ya kumuuza Tevez.

...bomu la kutega hilo, SAF kashtukia lisijemripukia kama linavyowaendesha mchaka mchaka West Ham. Alaumiwe yule Kia Joorabchian kwa utapeli wake.
BTW, mbona Mascherano anaonekana more settled Liverpool kuliko Tevez?

...Naskia babu yenu sasa anamuwinda Benzema, ha ha ha...kaaaazi kweli kweli nyie mashetani wekundu... kimoyo moyo nadhani Tevez anajutia kutokuja Ze Gunners wakati ule...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…