Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
goli mbili nyngi mwana dah kuna kazi kubwa pale porto!
Currently Active Users Viewing This Thread: 5 (3 members and 2 guests)
Kaduguda, mahesabu
Ndio mbeba hirizi wa timu.....Garry Neville mpumzishieni jamani, doh!
...halafu ukitilia maanani Villareal na Porto hazijawahi kufungwa nyumbani na team yeyote ya Uingereza miaka nenda rudi! mnh!!!
Mnakibarua kizito wazee, poleni...lakini nadhani mtapita. Kuna haja Rooney na Tevez kuchezeshwa pamoja hizi match za kimataifa... world class strikers!
Garry Neville mpumzishieni jamani, doh!
Ndio mbeba hirizi wa timu.....
Icadon na wenzako msitegemee mwujiza wa aston vila ureno.....
There is always THE FIRST TIME and BREAKING THE RECORD; kwa hiyo, bado tumo, mtu muulie kwao ndio mazishi yatakuwa mazuri.
It is hard but do-able; what man have to do is to beat porto at home, ushindi wowote utatosha, hata kama ni 3-3 kisha tunawatoa kwenye matuta!...ngoja tumsubirie Saikosisi na uchambuzi wake wa leo...
It is hard but do-able; what man have to do is to beat porto at home, ushindi wowote utatosha, hata kama ni 3-3 kisha tunawatoa kwenye matuta!
Hii beki lakini ya man utd toka juzi ni makenge kweli!
Tupeni matokeo
Tunaenda kuwatolea uko kwao Arsenal mjiandae,Fergie alichemsha jana kumuanzisha striker mmoja kwenye game ya nyumbani na huyo GARRY NEVILE kila siku anafungisha
Wachezaji walikuwa na uchovu kucheza game 2 ndani ya siku 3
Man United ndio timu ya kwanza ya England kubeba Champions League
Man United ndio timu ya kwanza ya England kubeba FIFA Club World Cup
na tutakuwa timu ya kwanza ya England kushinda Ureno
Haya KKN but hata 1999 tulitoa draw na Juve OT but tulienda kuwamalizia huko kwaoHata mgonjwa wa ukimwi huwa anashauriwa kuishi kwa matumaini kama hivi, good approach T. I!
Haya KKN but hata 1999 tulitoa draw na Juve OT but tulienda kuwamalizia huko kwao