Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunaenda kuwatolea uko kwao Arsenal mjiandae,Fergie alichemsha jana kumuanzisha striker mmoja kwenye game ya nyumbani na huyo GARRY NEVILE kila siku anafungisha
Wachezaji walikuwa na uchovu kucheza game 2 ndani ya siku 3
Man United ndio timu ya kwanza ya England kubeba Champions League
Man United ndio timu ya kwanza ya England kubeba FIFA Club World Cup
na tutakuwa timu ya kwanza ya England kushinda Ureno
Na tutakuwa timu ya kwanza ya England......................
Nafikiri jibu mnalo
Naona imebaki rekodi moja tu kuivunja
 
Kwa red devils wote, nafanyia kazi hii project...1st trailer ila SFX kwenye titles kama unatumia speaker ndogo itakuwa inakwaruza(samahani kwa ilo), nimefanyia marekebisho ila sijapata muda wa ku-upload kwenye youtube. ushauri, mapendekeze vinakaribishwa.

[ame=http://www.youtube.com/watch?v=J7VPrZrZr_Q]YouTube - Manchester United; Then and Now[/ame]
 
Kwa red devils wote, nafanyia kazi hii project...1st trailer ila SFX kwenye titles kama unatumia speaker ndogo itakuwa inakwaruza(samahani kwa ilo), nimefanyia marekebisho ila sijapata muda wa ku-upload kwenye youtube. ushauri, mapendekeze vinakaribishwa.

YouTube - Manchester United; Then and Now


Sanaaa tuuuu, Mwana kazi ni nzuri sana sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, yes i ve said it... sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Endelea mwana kuleta raha kwenye jukwaa hili
 
MBU Arsenal ,Prof Wenger hawezi kulipa hela ya kumsajili Tevez
 
MBU Arsenal ,Prof Wenger hawezi kulipa hela ya kumsajili Tevez
ferguson naye vipi lakini kumpiga chini kijana wa watu, na anacheza-GA kwa moyo na nguvu zote! tena jamaa aipenda timu kaa nini!
 
MBU Arsenal ,Prof Wenger hawezi kulipa hela ya kumsajili Tevez

£40m asking price kwasasa ni Man City pekee wataoweza kumnunua. Imagine Man City ikiwa na Robinho, Kakaa, Eto'o na Tevez...🙂 ...sema Defence yao uchochoro.

Frank Rijkaard na Jurgen Klinsmann are among the fav (Managers) linked kwa City this summer!

ferguson naye vipi lakini kumpiga chini kijana wa watu, na anacheza-GA kwa moyo na nguvu zote! tena jamaa aipenda timu kaa nini!

...kwa SAF, it is either Rooney or Tevez,...bahati mbaya kwa Tevez, Rooney ndio love-child wa 'hair-raiser!'
 
44:30 GOAL - Carlos Tevez
Man Utd 2 - Man City 0
Carlos Tevez gets on the score sheet with a goal from just outside the penalty box high into the middle of the goal. Man Utd 2-0 Man City.Assist on the goal came from Dimitar Berbatov.
 
ferguson naye vipi lakini kumpiga chini kijana wa watu, na anacheza-GA kwa moyo na nguvu zote! tena jamaa aipenda timu kaa nini!
Naona TEVEZ anataka kudhihirisha kuwa anastahili kupewa mkataba,mmeona uwanja mzima wanavyomshangilia TEVEZ
 
Naona City wanadominate proceedings hapa..wangekuwa na umaliziaji makini Benitez angewapeleka vacation Ibiza..lol
 
Anatikisa tikisa kichwa tu..lol..kibri kibri..

dogo atataka kuwa mfungaji bora si unajua anagoli 18 na Anelka yupo karibu tu na 16? Ila anapaswa kukubali ukweli kuwa kupumzika na kumpisha mwenzako ni vizuri kwake hasa for next big games.
 
Well done Man U, sasa tunahitaji point 4 katika mechi 3 zilizobaki. Let say point 6 toka kwa Wigan na Hull zinatosha, tukiachana na za Arsenal.
 
Back
Top Bottom