Karibuni sana darajani ukipenda jumba la machinjio...
The refs was another fck#%$^ Athuman Kaz$...guys we need another TFF in London bwana. Hawa FA wamechoka.
Anyways Livafo_ls...ur internal wrangles and tumbling of ur team cant only demise by winning against ONLY us, at the end of the day tutanyakua tu ubingwa.
Ferdinand nahisi ameanza tene "U banza"
na sasa ivi cska wanaongoza kwa 3:1 siamini kwamba ni old traford
Mpira ni dkk 90 sikutegemea kabida MANU wafungwe leo, naona SFA atawapa mchamkamchaka mkubwa maana Jumapili CHELSEA wanawasubiri wawafanye vibaya.
Mpira ni dkk 90 sikutegemea kabida MANU wafungwe leo, naona SFA atawapa mchamkamchaka mkubwa maana Jumapili CHELSEA wanawasubiri wawafanye vibaya.
...mbaya zaidi hawa CSKA mfadhili wao ni huyo huyo Abramovich...si ndio atacheka wiki nzima?