Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roya u cant imagine i have missed tha game ila don't ask me why?
Amani kwa ''wapenzi'' wa soka nahisi hii ya leo ni msumari wa mwisho kwa Ze Gunaz who were talking about ''Mirracles'' ya kuwa mabingwa, Roya tell me how was the pace of the game!!
Ronaldo a.k.a software naona anazidi kuwawasha tuu!!, apo Ab-T na ''wenzako'' tumbo joto!, ahh unabisha?
Sijui hako ka ujasiri unakapata wapi mkuu!Roya Roy,Kana-ka-Nsungu, Icadon,Idimi na wengineo,
Acha nianze kwa kusema pongezi kwa Man U maana I see all the
indications that m'tachukua Premier ya mwaka huu.Kudos to Sir
Alex na vijana wote wa Red Devils for the performance.
It will only need a miracle for the wheels to drop off the
wagon nd'o mu-lose hii kitu...I dont see you loosing at
Wigan lakini tena si unajua mpira ni upepo?
Ubavu wa pili we are waitig for y'all in Moscow and
I can't fathom how you guys gon' win both the hardwares
...lakini of God is many na tusubiri!
Tumekaribia Bw Idimi and may the best man win!!!
Sasa Mkuu, takwimu zinaonyesha kwamba tangu mwaka 2001, mmeshinda mechi moja tu kati ya zote mlizocheza nyumbani kwao na hawa vijana wa Newcastle mnaokutana nao leo pale St James' Park! Yaani tangu enzi za akina Eidur Gudjohnsen. Hili nalo limekaaje?
Mtakubali kikombe kiwaponyoke hivi hivi?
Kila la kheri leo jioni katika mechi yenu!
Nyie watu wa Man U hizo ndoto zenu kuwa mtakuwa mtatangazwa mabingwa nadhani hamjui kinachoandaliwa na "The Blues" msije kupata mashinikizo ya damu..
Nyie watu wa Man U hizo ndoto zenu kuwa mtakuwa mtatangazwa mabingwa nadhani hamjui kinachoandaliwa na "The Blues" msije kupata mashinikizo ya damu..
Mzee Ab_Titchaz umepata kampani.....naomba msiingie mitini baada ya Moscow!
Wakuu Manda, Idimi &all the JF_ManU's, I was out of coverage of network (in Uvinza), I missed the maneno maneno ya bluuz.
Man for the double are unstopable!
Mkuu Icadon asante,
Mkuu Icadon asante,
Ila naona unataka bluuz wagome kwenda moscow kwa kisingizio cha vita....lol
Io movie imeanza kiutamu kama ''enemies at the gate'', movie kama hizo sio nzurii sanaaa kwa Ze Bluez!!, tuonane kesho JJB stadium tunapoenda ''kuchukua ndoo yetu"
Its not over till its over!!
One Love One United!!
Haha, unajua tulivyomshinda Barca na the fact kuwa tunaenda Moscow kitu cha kwanza kilichoniijia akilini ni Red Army..
Niakaona bora nichanganye hico clips.
Sasa guess what crossed my mind? kutengeneza sort of a showdown kati ya Russia(military) na US(military) nikichanganya na clips zote za magoli ya Man U na Chelsea on the road to Moscow.Kwa nini-(Abromavich-Russian Glazier-American)Weekend njema