Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Kikosi kilichoenda ni;

Travelling squad
Goalkeepers: Van der Sar, Foster, Kuszczak.
Defenders: Ferdinand, Evra, O'Shea, Evans, Fabio, Eckersley.
Midfielders: Giggs, Park, Carrick, Nani, Scholes, Possebon, Gibson, Fletcher, Ronaldo.
Forwards: Berbatov, Berbatov, Tevez, Welbeck.

Kwa hiyo hata Rafa hajaenda...so Oshea is likely akapga kati na Rio then Eckersley akacheza mbili!...duh mbona mtihani!?


Mkuu Manda Eckersley awezi kupewa namba mbili kwenye mechi kubwa kama hii.Umesahau mwaka jana G Neville alipoumia D Fletcher alipangwa namba mbili.Kwa maoni yangu nadhani Sir Alex atajaza atachezesha viungo wengi ili kuinyima nafasi Inter kutawala katikati uku man ikitegemea zaidi counter attack.Line up inaweza kuwa
[1] Van der Sar
[2] Fletcher
[3] Evra
[4] O'Shea
[5] Ferdinand
[6] Carrick
[7] Ronaldo
[8] Scholes
[9] Berbatov
[10]Ronney
[11]Park

Sub.
1Kuszczak
2Giggs
3Nani
4Tevez
5Eckersley
 
Ferguson forced to shuffle after United are stripped of defenders• Teenager Eckersley may play at right-back in San Siro
• Ferguson highlights threat posed by Ibrahimovic



The interview room was hot and airless and Sir Alex Ferguson had plenty on his mind. The Manchester United manager was about to take his players on the San Siro pitch for a training session with Rio Ferdinand his only fit centre-half and not one orthodox right-back – unless we are counting Richard Eckersley, a teenage reserve who has never started a senior match. What, Ferguson was asked, were the options if Jonny Evans and John O'Shea failed fitness tests in the morning? "The options are, we panic," he replied.

Ferguson went on to joke that Dimitar Berbatov, sitting to his right, might be required to play as a sweeper. But the humour was short-lived. Ferguson could not remember the last time his defensive options were so threadbare and he was almost reluctant to admit that the Da Silva twin who could play at right-back was Fabio rather than the more experienced Rafael. Fabio, a left-back by trade, has made only one appearance in his United career, playing for 53 minutes in the FA Cup defeat of Tottenham Hotspur last month, and Ferguson must surely be aware that a Champions League tie in Milan is no place to blood such a raw player.

With Rafael damaging his ankle in Saturday's 2-1 defeat of Blackburn Rovers, a more feasible option is that Darren Fletcher will play on the right of defence if, as Ferguson expects, Evans is ruled out because of his sprained ankle. Gary Neville, with a muscular strain in his lower leg, and Wes Brown, with a broken metatarsal, are not in Milan and, though Nemanja Vidic trained as normal, it looks increasingly likely that his one-match suspension for being sent off in the World Club Cup could have costly repercussions.

O'Shea has a heel injury and, apart from Ferdinand, Fabio and Patrice Evra, the only other fit defender in United's squad is Eckersley, whose United career consists of two substitute appearances and a total of 56 minutes playing with the first-team.

"These are big concerns for us," said Ferguson. "We just have to get on with it because there is still a great opportunity to take Inter back to Old Trafford with a good, sound result. But I wish we were in a better position defensively. O'Shea is having a light training session but Jonny Evans is unable to train. I'm hoping one of them makes it – the more likely is O'Shea – but then we've got the problem of right-back. It's a real worry for us."

In the circumstances, Ferguson was in good spirits, rolling his eyes theatrically when Jose Mourinho's words from an earlier press conference were put to him and even trying a bit of Italian, with little success, to ask for some air conditioning. But the prospect of Fabio or Eckersley facing the best team in Italy is not one that many United fans will want to contemplate and, lest it be forgotten, O'Shea has been in danger in recent seasons of becoming the player the fans dislike the most.

Ferguson countered that "young players never disappoint you" and tried to exude the impression that he had confidence in every member of his travelling party. "When young players show their potential at the right moment, and you can judge their temperament from big occasions like this, I take more out of that than anything."

Yet Ferguson is also acutely aware that his emergency defence – the worst-case scenario is that Evans and O'Shea both miss out and either Fletcher or Michael Carrick has to partner Ferdinand in the centre – will be facing one of Europe's in-form strikers. The United manager described Zlatan Ibrahimovic as "the star player for Inter," adding that the Sweden striker was having a "fantastic season" and "getting all the praise he deserves".

Ibrahimovic, according to Ferguson, has reached a point of his career where, at 27, he is now playing with "maturity" as well as his natural talent. The same, he hopes, will apply to his own players and he reminded us what had happened when United played at San Siro in the semi-finals two years ago.

United lost that 3–0 to Milan and *Ferguson had been unusually critical of Cristiano Ronaldo afterwards. "You could see the immaturity in the boy," he recalled. "But we're seeing a different boy now. I want to see maturity in Ronaldo here. We need that from all the players – maturity, to handle the atmosphere and the occasion."

That night in 2007 was a chastening one for United and, though Ferguson did not mention it, he had considerable problems in defence then, with Neville and Ferdinand missing and Vidic rushed back from a broken collarbone. Tonight, however, looks like bringing a new meaning to the words "selection" and "crisis".


Source : Guardian/uk
 
WATANI ZANGU!!!

Mkae mkao wa kumegwa,,maana kuna tetesi kuwa Morinho anataka kumthibitishia bosi wake wa zamani (Abramovich) yeye ni babkubwa. So ametangaza atawalipizia kisasi THE BLUES km vile man u walivyowachapa 3-0.

Anzani kutafuta vitabu vya sababu!!!???
 
We played well sema ndio hivyo we didn't capitalize, naona Mourinho alikuwa kimyaaaa...
 
Wamepona kipigo nyumbani kwao (o - 0)
tutawaua hawa mwezi ujao, tutawatoa ushamba, bravo Man United

Ila si umeona game ilivyo na upinzani maana ni timu mbili mashuhuri zilizocheza.
Washabiki ulisikia kelele zao, jamani mpaka raha kucheza mpira!
Wakaribisheni Old Trafford Kwa kipigo hiyo mechi ya marudiano..
 
Man U

Mmejitahidi kiasi chenu
Ila itabidi pia refer wa mwezi ujao mumpe fungu la kutosha, maana wa jana nae ....mmmhhhh!!!!
 
Man U

Mmejitahidi kiasi chenu
Ila itabidi pia refer wa mwezi ujao mumpe fungu la kutosha, maana wa jana nae ....mmmhhhh!!!!

Stori za Kubebwa Manutd na marefu still mnazo?, anyways hazijaanza leo na hazitowaisha leo..poleni!

Nafikiri jana The Old One defeated The Special One...game ilikuzwa na majigambo ya Mourihno..at the end of the end tumeshuhudia wote kuwa Inter Milan (Seria A) si lolote si chochote, i cant see them winning Machinjioni OT, with 4-4-2 FORMATION siwaoni wakipita the next round.

On top of that we have seen Mourihno is cracking tayari, mara refa, mara anadai hata alipokuwa Porto the first game walitoka bila bila na Deportivo then then thre next game wakashinda!..nonsense!, THIS IS MANUTD!

NB: Nasikitika kumuona Mour akitoka mapema kiasi hiki.
 
Stori za Kubebwa Manutd na marefu still mnazo?, anyways hazijaanza leo na hazitowaisha leo..poleni!

Nafikiri jana The Old One defeated The Special One...game ilikuzwa na majigambo ya Mourihno..at the end of the end tumeshuhudia wote kuwa Inter Milan (Seria A) si lolote si chochote, i cant see them winning Machinjioni OT, with 4-4-2 FORMATION siwaoni wakipita the next round.

On top of that we have seen Mourihno is cracking tayari, mara refa, mara anadai hata alipokuwa Porto the first game walitoka bila bila na Deportivo then then thre next game wakashinda!..nonsense!, THIS IS MANUTD!

NB: Nasikitika kumuona Mour akitoka mapema kiasi hiki.

ana bahati sana hakuchapwa bao!...., But kashahisi OLD-Tulafodi yaweza mpata ya AS-roma!!!!.. which is likely to be!..
 
Huyo Ibrahimovic Mourinho anamsifia lakini nilimuona mpira kagusa mara moja na hata MAICON ambae nilikuwa namuogopa alifichwa na EVRA ,nafikiri ROONEY alipaswa kuanza kipindi cha kwanza but lazima tuwaondoe
 
This Weekend tunaanza kukusanya kombe la kwanza
 
This Weekend tunaanza kukusanya kombe la kwanza

I hope yu mean kombe la Pili.....kombe la klabu bingwa dunia umelisahau?, our closets are already full of silvawares inatubidi twende tukahemee mitaa ya London watuazime kabati walau moja tu!

NB; Treble ni vikombe vitatu, Qadruple ni vikombe Vinne, this time ni vitano, so the English of vitano imekaaje?
 
I hope yu mean kombe la Pili.....kombe la klabu bingwa dunia umelisahau?, our closets are already full of silvawares inatubidi twende tukahemee mitaa ya London watuazime kabati walau moja tu!

NB; Treble ni vikombe vitatu, Qadruple ni vikombe Vinne, this time ni vitano, so the English of vitano imekaaje?

Vikombe vitano mtavipata in your wildest dreamz! Morinyo ameshawasoma atawaondoa old traford. Mkijitahidi sana, mtapata Carling na Premier
 
Huyo Mourinho alikuwa anakuja kuangalia game karibu 3 za Man na zote tulishinda nafikiri alitusoma ndio maana akapata droo but akija OT lazima achinjwe
Tatizo Mourinho anafundisha timu kibonde ,juzi tumewakimbiza utadhani tunacheza na Stoke City
 
[ame=http://www.youtube.com/watch?v=FWHXCR0t6xc]YouTube - Trailer:Manchester United vs Liverpool[/ame]
 
Theory ni ile ile, aliyenacho huongezewa. LOL.


CARLING CUP FINAL
MAN UTD WIN 4-1 ON PENALTIES
 
Wakuu Ndoo nyingine..., msimu huu kweli noma!.... Man-U kweli inatisha!.....
Community shield, Kikombe cha Mabingwa-vilabu duniani,Carling Cup......., mpaka raha...
 
Theory ni ile ile, aliyenacho huongezewa. LOL.


CARLING CUP FINAL
MAN UTD WIN 4-1 ON PENALTIES

Tunaanza kuhesabu kikombe cha kwanza, sasa bado FA, Premier & Champion vyote mwaka huu vinaenda Old Traford
 
Haya sasa kikombe cha kwanza tumeshachukua cha pili tunaanza kuchukua kwa INTER MILAN kama kawaida mtakoma mwaka huu ohh wachezaji wazee hawajui mpira sasa mbona tunawatoa jasho???
 
Back
Top Bottom