Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Sijaona mchezaji wa INTER anaeweza kutufunga labda hayo magoli tujifunge wenyewe ,nyie mmepewa hao vibonde lakini mnashinda kwa mbinde

...Belo,

...watch out for Ibrahimovich
12859.jpg
...na Adriano...wishing you luck!!!
 
Hao jamaa hamna lolote kwenye first leg Zlatan nilimuona kagusa mpira mara 1 Adriano alikosa mpira mara moja na ile game Minister of Defence hakuwepo
Ile game kama Rooney angeanza tungewamaliza huko kwao
 
Kazi imeanza mapemaa!
GOAL Manchester United 1-0 Inter Milan
 
Kazi imeanza mapemaa!
GOAL Manchester United 1-0 Inter Milan

...hao muwafunge jingine kabla ya dakika ya 75, Mourinho ana kipaji cha kubadili mchezo baada ya dakika hizo...
 
...hao muwafunge jingine kabla ya dakika ya 75, Mourinho ana kipaji cha kubadili mchezo baada ya dakika hizo...

upo sahihi bila shaka SAF anakumbuka siku ileee na FC Porto.
 
halafu hawa Inter wanashikashika mpira kama handball vile na refa anaminya zote uummh!
 
Well done man united, the one united. Hii inaonyesha namna gani ligi ya uingereza ilivyobora kuliko zingine barani ulaya.

Nawatakia kheri arsenal pia katika dakika za nyongeza au matuta.
 
Laini kama tunanawa,hizo ni salamu za Liverpool Jmosi
 
Timu za Uingereza zote zimebebwa kwa namna moja au nyengine, isipokuwa Chelski. 

Liva- Goli la kwanza Pepe kafanyiwa faulo, halafu refa anapeta, wakati jamaa alikuwa last defender.

Blankers Arsenal - Refa kawanyima Roma penati live kabisa, safari ilikuwa ndio inawakuta, watoto wa Mr. Bean.

ManU- Goli la pili, Berba alikuwa offside na alikuwa aki-enterfere the flow of play, kwa sababu kulikuwa na mabeki wanamkaba badala ya Ronaldo. Hata commentator mmoja wa UK alisema wazi kabisa kuwa sheria za offside zimekuwa 'ngumu', lakini akionesha jamaa wanabebwa.

Najua wapenzi mtawaka, lakini habari ndo hiyo.
 
Timu za Uingereza zote zimebebwa kwa namna moja au nyengine, isipokuwa Chelski. 
Chelsea hawakubebwa? mbona goli alilofunga DROGBA first leg alikuwa offside

Liva- Goli la kwanza Pepe kafanyiwa faulo, halafu refa anapeta, wakati jamaa alikuwa last defender.
OK faulo ,futa goli la Torez ,Liva3 Madrid 0

Blankers Arsenal - Refa kawanyima Roma penati live kabisa, safari ilikuwa ndio inawakuta, watoto wa Mr. Bean.
Mbona walifika kwenye penati wakakosa 2

ManU- Goli la pili, Berba alikuwa offside na alikuwa aki-enterfere the flow of play, kwa sababu kulikuwa na mabeki wanamkaba badala ya Ronaldo. Hata commentator mmoja wa UK alisema wazi kabisa kuwa sheria za offside zimekuwa 'ngumu',
Berbatov kweli alikuwa offside lakini hakuingilia movie au kugusa mpira
OK tufute hilo la RONALDO ,Man 1 Inter 0

Mkubwa kwa sasa timu za Uingereza zipo juu kuliko za Italy na Spain na wasipoangalia huenda tukaona tena fainali ya timu za Uingereza
 
Chelsea hawakubebwa? mbona goli alilofunga DROGBA first leg alikuwa offside

Mimi sisemi mengi, jamaa alikuwa level, kwa sababu kuna defender alikuwa anam-play-on. Hivyo hamna offside hapo..

Sport File: Chelsea vs Juventus Highlights (Champions League)|Live And Highlights Football Match,EPL,Seri A,Champion League,World Cup Qualification...


OK faulo ,futa goli la Torez ,Liva3 Madrid 0

Soccer haliendi hivyo mzee..kwamba ukiwa na nyanya 4, ukiangusha moja inabaki 3! Ha ha ha.. Soka ni saikolojia, ukishaanza kufungwa mbinu mlizokuwa nazo mwanzo zinakuwa zimetibuliwa.

Mbona walifika kwenye penati wakakosa 2
Wasingefika hatua ya penati kama refa angekuwa professional.

Berbatov kweli alikuwa offside lakini hakuingilia movie au kugusa mpira
OK tufute hilo la RONALDO ,Man 1 Inter 0

Sio kuingilia move mkuu, jamaa alikuwa anasubiria mpira utue utasemaje alikuwa haingilii move? Sheria za wapi?

Mkubwa kwa sasa timu za Uingereza zipo juu kuliko za Italy na Spain na wasipoangalia huenda tukaona tena fainali ya timu za Uingereza

Of course zipo juu, lakini kwa raundi hii zipo juu kutokana na kubebwa juujuu na marefa. Hivi unakumbuka gemu ya Atletico na Liva, Anfield?
 
Sio kuingilia move mkuu, jamaa alikuwa anasubiria mpira utue utasemaje alikuwa haingilii move? Sheria za wapi?
Kama Berbatov angegusa ule mpira ilikuwa offside but mkubwa hata Mourihno mwenyewe amekiri lile ni goli


Of course zipo juu, lakini kwa raundi hii zipo juu kutokana na kubebwa juujuu na marefa. Hivi unakumbuka gemu ya Atletico na Liva, Anfield
Nashukuru kwa kukubali kuwa ziko juu ni kweli ile game ya Liverpool pale Anfield walibebwa na kumbuka Liva walifunga goli dakika zilikuwa zimekwisha
 
Kama Berbatov angegusa ule mpira ilikuwa offside but mkubwa hata Mourihno mwenyewe amekiri lile ni goli

Sheria inasema kuhusu kuingilia flow, sio kuugusa mpira pekeyake mkuu..

Nashukuru kwa kukubali kuwa ziko juu ni kweli ile game ya Liverpool pale Anfield walibebwa na kumbuka Liva walifunga goli dakika zilikuwa zimekwisha

Sio tu dakika zilikuwa zimeisha, ila refa akahakikisha anawapatia penati !
 
Back
Top Bottom