Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Tunakobonda vzr tu, wewe had kwenye mabonanza nimekupiga mwaka huu

Kule Carabao nakusubiria pia

Bado huna timu ya kuifunga arsenal

Kama ndani ya dk 94 umepata Kona 0, touches 6 tu Tena touch ya kwanza imekuja dk ya 43,

Hapo nilikosa key players
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza juisi ya Ukwaju, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi?
Glasi moja ni jero, haya ukiuza ndoo nzima utashindwa kujenga?
 
Tunakobonda vzr tu, wewe had kwenye mabonanza nimekupiga mwaka huu

Kule Carabao nakusubiria pia

Bado huna timu ya kuifunga arsenal

Kama ndani ya dk 94 umepata Kona 0, touches 6 tu Tena touch ya kwanza imekuja dk ya 43,

Hapo nilikosa key players
Ndio ndio kaka wape za uso
 
20241205_153437.jpg
 
Touches in opposition box
Arsenal 36 - 6 United

Big chances created
Arsenal 5-0 United

Goal attempt
Arsenal 14-5 United

Shot on target
Arsenal 6-2 United

Corner kicks
Arsenal 13-0 United

XG
Arsenal 2.33 - 0.31 United

But guess who "played like Tony Pulis"

Lmao 😂 😂😂
 
Manjesta bhana waliingia kwenye box la Arsenal mara 6 tu ndani ya dk 94

Hii ni record toka mwaka 2017 ambapo manjesta waliingia mara chache kwenye box la mpinzani,ilikuwa dhidi ya Arsenal

Yaani kila baada ya dk 15 ndio manjesta wanafika mara moja kwenye box la Arsenal

Ni timu ambayo Kwenye usajili imetumia zaidi ya €200m
 
Manjesta bhana waliingia kwenye box la Arsenal mara 6 tu ndani ya dk 94

Hii ni record toka mwaka 2017 ambapo manjesta waliingia mara chache kwenye box la mpinzani,ilikuwa dhidi ya Arsenal

Yaani kila baada ya dk 15 ndio manjesta wanafika mara moja kwenye box la Arsenal

Ni timu ambayo Kwenye usajili imetumia zaidi ya €200m
Karibu tena mwamba!! maana flano alishaanza kunenepa
 
Manjesta bhana waliingia kwenye box la Arsenal mara 6 tu ndani ya dk 94

Hii ni record toka mwaka 2017 ambapo manjesta waliingia mara chache kwenye box la mpinzani,ilikuwa dhidi ya Arsenal

Yaani kila baada ya dk 15 ndio manjesta wanafika mara moja kwenye box la Arsenal

Ni timu ambayo Kwenye usajili imetumia zaidi ya €200m
Hivi Ile mechi ya Liverpool msimu wa 2021/22 waliyopigwa 4-0 Anfield waliingia langoni Mara ngapi?
 
Back
Top Bottom