Manchester United (Red Devils) | Special Thread
Aisee wazee wa mashetani hamna timu jamani kha!
Midfield ya hawa wakina maino hamna kitu.
 
Kipindi cha kwanza timu zote mbili zinagongana gongana tu

Nyumbu hamna timu, inabidi mfumue kikosi kizima mazraoui, yoro, dalot and likes hawakupaswa ata kuwa sub. Ajabu wao ndio starting 11 panga pangua
 
Inawezekana kweli hamna timu (wachezaji wabovu) ila napata shida kuona mifumo, falsafa na tactics za huyu amorim

7+3 hag mlisema ni gang gang football

Huyu muhindi vipi? Tueleweshen majiran
 
Hiz ndio rate za kipindi cha kwanza, wazee mnawezaje kuangalia game zenu?
Screenshot_20241226_212934_FotMob.jpg
 
Tafuteni wachezaji wa kueleweka anzeni na kipa na captain wenu hawana hadhi ya kucheza hata championship
 
Back
Top Bottom