BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
We acha tu, naona tumeamshwa!..loh,hawa Spurs mmh!
Mzima lakini BJ? naona mmeanza vibaya leo na SAF anatafuna Big G yake kama ugomvi ha ha ha ha lakini mpira ni dakika 90 na bado kuna dakika kibao. Chelsea wanaendelea na 100% perfect record yao baada ya Malouda kuziona nyavu za Stoke dakika za majeruhi (93rd minute)