Manchester United Tunahitaji ushindi wa Goli 19-0 kesho

Manchester United Tunahitaji ushindi wa Goli 19-0 kesho

Mlaleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
14,809
Reaction score
11,825
Dah Tumejipanga na lazima tuifunge AFC Bournemouth Goli zaidi ya Ishirini na tutaishusha Man City nafasi ya Nne tunahitaji kucheza Champion League 2016-2017 maana UEFA ndogo sio level Yetu...ni ya kina Liverpool..
 
Ingekuwa ligi ya Bongo hili lingewezekana lakini kwa Epl ngoma ndio imeshaisha sisi ni wa UEFA ndogo tu.

Kubadilisha Kocha kwa kifupi Mfumo na sera zake zimeshindwa kufanya kazi Old T
 
Van Gaal sijui ataondoka lini maana huwa Namtukana sana... Ni Lini anaondoka nipunguze Dhambi hii ya Kutusi
 
Van Gaal sijui ataondoka lini maana huwa Namtukana sana... Ni Lini anaondoka nipunguze Dhambi hii ya Kutusi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anakupa dhambi za bure tu mkuu ila endelea kumtukana labda ataondoka mana mi nimetukana mpaka kikorea bado yupo
 
Van Gal ni sawa na Usiyempenda Kaja...
 
Dah Tumejipanga na lazima tuifunge AFC Bournemouth Goli zaidi ya Ishirini na tutaishusha Man City nafasi ya Nne tunahitaji kucheza Champion League 2016-2017 maana UEFA ndogo sio level Yetu...ni ya kina Liverpool..
hatupeleki timu mbovu UEFA
 
Ferguson arudi tena kwa msimu mmoja....
 
hatupeleki timu mbovu UEFA
Man U Sio Mbovu Kivile Tukipita Champion League hata Zlatan atavutiwa kutia guu anyanyase na Uingereza.... na kujiwekea Historia nyingine
 
Una weza kushanga tukaongoza 20-0 alafu tukatangaziwa kuna bomu uwanjani mechi ikavunjwa.. Gundu likikuandama acha
 
Naombeni ufafanuzi Hapa jamani,mpaka sasa Leicester, arsenal, spur,man city,wamefuzu tayari,sasa Hapa ndipo pana ponitatiza wanasema mshindi Wa europe league anacheza champion league so ina maana Liverpool akichukua dude atacheza champion league,na mshindi Wa Fa cup nae anacheza champion league naombeni msaada jamaaa zangu
 
umeharibu uzi wote
Dah Tumejipanga na lazima tuifunge AFC Bournemouth Goli zaidi ya Ishirini na tutaishusha Man City nafasi ya Nne tunahitaji kucheza Champion League 2016-2017 maana UEFA ndogo sio level Yetu...ni ya kina Liverpool..[/QUOTE]
 
Ingekuwa ligi ya Bongo hili lingewezekana lakini kwa Epl ngoma ndio imeshaisha sisi ni wa UEFA ndogo tu.

Kubadilisha Kocha kwa kifupi Mfumo na sera zake zimeshindwa kufanya kazi Old T
Hata Bongo kitu hicho hakiwezekani, Eti uifunge timu pinzani goli 20-0!!!!! Never
 
kwa strikes gan mlionao mshinde hizo goli, ni mwendo wa ndondo tu mpk 2020
 
Hata Bongo kitu hicho hakiwezekani, Eti uifunge timu pinzani goli 20-0!!!!! Never
Bongo Ishatokea sema Timu zote zikashushwa Daraja na Marefaree wakafungiwa na fine... Kipindi cha Kwanza walienda Dakika zaidi ya 80
 
Naombeni ufafanuzi Hapa jamani,mpaka sasa Leicester, arsenal, spur,man city,wamefuzu tayari,sasa Hapa ndipo pana ponitatiza wanasema mshindi Wa europe league anacheza champion league so ina maana Liverpool akichukua dude atacheza champion league,na mshindi Wa Fa cup nae anacheza champion league naombeni msaada jamaaa zangu

Nadhani wa Europa league atacheza Champions league. Sina uhakika kama anamwengua yule wa nne au wanakuwa watano! Bingwa wa FA sidhani kama champions league itamhusu.
 
Na wakati huo huo muombee Liverpool apoteze fainali ya Yulopa.
 
Ikitokea hizo timu zote zitashushwa daraja
 
Back
Top Bottom