barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ishu sio hizo goli, hata kuifunga Afc bournemouth ni ishu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wewe hii kibongo bongo inawezekana tena chini ya utawala prezda malinzi aaaaaah mbona kabla ya half time 19-0.Hata Bongo kitu hicho hakiwezekani, Eti uifunge timu pinzani goli 20-0!!!!! Never
Ila inawezekana wakicheza na wale wafuga vyura wa pale jangwani.Hizo goli hata wakicheza na simba hawazipati kamwe.
Van gaal bonge la kocha.....Van Gaal sijui ataondoka lini maana huwa Namtukana sana... Ni Lini anaondoka nipunguze Dhambi hii ya Kutusi
Bongo Ishatokea sema Timu zote zikashushwa Daraja na Marefaree wakafungiwa na fine... Kipindi cha Kwanza walienda Dakika zaidi ya 80