Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Tumejipanga na lazima tuifunge AFC Bournemouth Goli zaidi ya Ishirini na tutaishusha Man City nafasi ya Nne tunahitaji kucheza Champion League 2016-2017 maana UEFA ndogo sio level Yetu...ni ya kina Liverpool..
Haha kumbe wafahamu maana Mkifanikiwa leo kuchukua Uefa mnaenda CHAMPIONS league lakini mwisho wenu ni makundi mnakutana na sisi tukiwa na moto balaa tutawacharanga kumi bila...😀😀😀Tukutane Uefa mwakani mkuu,mmefanikiwa vyema.
😀😀😀
YNWA