The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
MANU ni club tajiri,so hawakua na tamaa ya kupata hela toka kwa CR7 ili wamuuze team nyingine,
Mkuu acha kufananisha team za EPL na Bongo.
Mkuu acha kufananisha team za EPL na Bongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtarukaruka lakini mwisho wa siku atakayeumia ni Huyo Mtu wenu. Yaani mchezaji akitoka akabwabwaja huko inakuwa sababu ya timu kumuacha? Kwa nini usikubaliane na njia waliyoitumia Yanga ambayo ni yao wenyewe na hawajavunja sheria yoyote Ila unataka wafuate walichofanya Man U?Baada ya interview ya Cristiano Ronaldo na Piers Morgan Man united wakaamua kusitisha mkataba na Ronaldo haraka sana.
Ni man united ndio walishinikiza mkataba uvunjwe kwa makubaliano kutokana na kusemwa vibaya kwenye interview. Hawakuogopa labda sijui akina Martial, Bruno wataiga hivyo walazimishe tu kuwa na Ronaldo au Ronaldo labda atahamia Man city. Vyote hivyo hawakujali.
Fei toto kaiongelea vibaya yanga, kasema hataki kuichezea yanga, Sasa kwa nini yanga wasimuachie Fei toto kwa makubaliano? Hata kama mchezaji hayupo kambini lakini mkimtumia ujumbe wa kutaka kuvunja mkataba kwa makubaliano hawezi kukataa.
Mchezaji alieisema vibaya klabu kuna faida gani akirudi kambini? Kutaka kumkomoa au kutarajia fidia kutoka kwa mchezaji ni kutojitambua kwa klabu.
Sababu ni uswahili na itikadi za kizamaniSasa kwa nini yanga wasimuachie Fei toto kwa makubaliano?
Wapi feitoto ameiongelea yanga vibayaBaada ya interview ya Cristiano Ronaldo na Piers Morgan Man united wakaamua kusitisha mkataba na Ronaldo haraka sana.
Ni man united ndio walishinikiza mkataba uvunjwe kwa makubaliano kutokana na kusemwa vibaya kwenye interview. Hawakuogopa labda sijui akina Martial, Bruno wataiga hivyo walazimishe tu kuwa na Ronaldo au Ronaldo labda atahamia Man city. Vyote hivyo hawakujali.
Fei toto kaiongelea vibaya yanga, kasema hataki kuichezea yanga, Sasa kwa nini yanga wasimuachie Fei toto kwa makubaliano? Hata kama mchezaji hayupo kambini lakini mkimtumia ujumbe wa kutaka kuvunja mkataba kwa makubaliano hawezi kukataa.
Mchezaji alieisema vibaya klabu kuna faida gani akirudi kambini? Kutaka kumkomoa au kutarajia fidia kutoka kwa mchezaji ni kutojitambua kwa klabu.
Ya Man u ni nzuri zaidi ipo kiprofessional. Ya yanga ipo kimihemko.Mtarukaruka lakini mwisho wa siku atakayeumia ni Huyo Mtu wenu. Yaani mchezaji akitoka akabwabwaja huko inakuwa sababu ya timu kumuacha? Kwa nini usikubaliane na njia waliyoitumia Yanga ambayo ni yao wenyewe na hawajavunja sheria yoyote Ila unataka wafuate walichofanya Man U?
Mama Fei kusema Mwanae alikuwa anapitia hali ngumu pale Yanga mpaka kula ugali na sukari halafu Fei toto hajakanusha.Wapi feitoto ameiongelea yanga vibaya
Huna akili wewe. Yan unasema club haijitambuibkwa kusimamia sheria? Watu wengine sijui shule mnaenda kusomea ujingaBaada ya interview ya Cristiano Ronaldo na Piers Morgan Man united wakaamua kusitisha mkataba na Ronaldo haraka sana.
Ni man united ndio walishinikiza mkataba uvunjwe kwa makubaliano kutokana na kusemwa vibaya kwenye interview. Hawakuogopa labda sijui akina Martial, Bruno wataiga hivyo walazimishe tu kuwa na Ronaldo au Ronaldo labda atahamia Man city. Vyote hivyo hawakujali.
Fei toto kaiongelea vibaya yanga, kasema hataki kuichezea yanga, Sasa kwa nini yanga wasimuachie Fei toto kwa makubaliano? Hata kama mchezaji hayupo kambini lakini mkimtumia ujumbe wa kutaka kuvunja mkataba kwa makubaliano hawezi kukataa.
Mchezaji alieisema vibaya klabu kuna faida gani akirudi kambini? Kutaka kumkomoa au kutarajia fidia kutoka kwa mchezaji ni kutojitambua kwa klabu.
Atajuta kuijaribu Yanga hadi hili jina litakuwa kama kirusi asichopenda kukisikiaFeisal lazima tumvune haswa, hakuna kumwachia
Umepewa mfano ili uelewe vizur,maana nyie vichwa vigumuSee what am saying:uswahili at its best🤣 Kwahiyo yanga ni mume na feitoto ni mke aliyetaka talaka🤣🏂
Kwani Yanga ni Manchester United? Mtasema maneno yote! Ila mkataba hautavunjwa kienyeji kama mlivyotaka.Baada ya interview ya Cristiano Ronaldo na Piers Morgan Man united wakaamua kusitisha mkataba na Ronaldo haraka sana.
Ni man united ndio walishinikiza mkataba uvunjwe kwa makubaliano kutokana na kusemwa vibaya kwenye interview. Hawakuogopa labda sijui akina Martial, Bruno wataiga hivyo walazimishe tu kuwa na Ronaldo au Ronaldo labda atahamia Man city. Vyote hivyo hawakujali.
Fei toto kaiongelea vibaya yanga, kasema hataki kuichezea yanga, Sasa kwa nini yanga wasimuachie Fei toto kwa makubaliano? Hata kama mchezaji hayupo kambini lakini mkimtumia ujumbe wa kutaka kuvunja mkataba kwa makubaliano hawezi kukataa.
Mchezaji alieisema vibaya klabu kuna faida gani akirudi kambini? Kutaka kumkomoa au kutarajia fidia kutoka kwa mchezaji ni kutojitambua kwa klabu.
Yeye ameleta uswahili akafundishwa kuwa zama za uswahili tulishahama huko Yanga inaendeshwa kisomi siyo kiswahili inaangalia maslahi ya timu na mstakabali wa timu kwa jumla.Umenielewa Vizuri... yeye kaleta uswahili sasa anafundishwa adabu, haiwezekani mtu mmoja akataka kuivuruga taasisi..
Ukiruhusu kitu alichofanya yule bwana mdogo kiwe ni sahihi machoni pa wachezaji wote, kuna siku utaamka utakuta timu mzima imeterminate contract...
Feisal aende akakae mezani, taasisi hua hazifanyi kazi kwa huruma, hua zinafuata utaratibu!
Umeshawahi kufanya/kuingia mkataba wowote ule wa kisheria katika maisha yako?Bongo tunazingua sana, kama mkataba upo na unafaa kuvunja kwanini wasimuache aende. HIli suala TAKUKURU inabidi iingilie kati.
Ona hii kengemaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongo tunazingua sana, kama mkataba upo na unafaa kuvunja kwanini wasimuache aende. HIli suala TAKUKURU inabidi iingilie kati.
Nadhani mkuu umeoanisha juu juu tu bila kuangalia kwa undaniBaada ya interview ya Cristiano Ronaldo na Piers Morgan Man united wakaamua kusitisha mkataba na Ronaldo haraka sana.
Ni man united ndio walishinikiza mkataba uvunjwe kwa makubaliano kutokana na kusemwa vibaya kwenye interview. Hawakuogopa labda sijui akina Martial, Bruno wataiga hivyo walazimishe tu kuwa na Ronaldo au Ronaldo labda atahamia Man city. Vyote hivyo hawakujali.
Fei toto kaiongelea vibaya yanga, kasema hataki kuichezea yanga, Sasa kwa nini yanga wasimuachie Fei toto kwa makubaliano? Hata kama mchezaji hayupo kambini lakini mkimtumia ujumbe wa kutaka kuvunja mkataba kwa makubaliano hawezi kukataa.
Mchezaji alieisema vibaya klabu kuna faida gani akirudi kambini? Kutaka kumkomoa au kutarajia fidia kutoka kwa mchezaji ni kutojitambua kwa klabu.