Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Ni kama inaruhusu tu maana akifanya mkubwa wa nchi anayo kinga ya kutoshitakiwa.Kwani katiba tuliyonayo inaruhusu wizi na utoroshaji wa mali za umma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama inaruhusu tu maana akifanya mkubwa wa nchi anayo kinga ya kutoshitakiwa.Kwani katiba tuliyonayo inaruhusu wizi na utoroshaji wa mali za umma?
Kwani katiba tuliyonayo inaruhusu wizi na utoroshaji wa mali za umma?
Mnaitisha maandamano lakini siku ya maandamano watanganyika hamtoki ata mtu 1 mnawaacha Wazanzibari wanavunjwa miguu peke yao.,Bila kuwa na katiba itayodhibiti wizi na utoroshaji wa mali za umma. Tunakwenda kuumia. Maana hii miaka mitatu mpaka uchaguzi mkuu ufanyike tutaibiwa sana.
Mandamano yaitishwe nchi nzima bila kujali itikadi zetu.
Tupate katiba ambayo hata Rais au waziri akifanya ufisadi anafikishwa mahakamani bila kinga.
Ikiwezekana anyongwe hadharani.
Kwani hii iliyopo inamruhusu kufanya makosa?Haimdhibiti Rais hata akifanya makosa hivyo wateule wa Rais wakiiba anao uwezo wa kuwalinda. Rais ana uwezo wa kumkata za DPP kuendelea na kesi.
Kama anayo kinga ya kutoshtakiwa ni dhahiri inamruhusuKwani hii iliyopo inamruhusu kufanya makosa?
Akimaliza muda wake na kurudi uraiani bado anabaki na kinga?Ni kama inaruhusu tu maana akifanya mkubwa wa nchi anayo kinga ya kutoshitakiwa.
Sana tu. Kinga ipo mpka anakufa, na why tusubiri had amalizw muda wake kama vitu viko wazi?Akimaliza muda wake na kurudi uraiani bado anabaki na kinga?
TOPESasa unataka mimi niandamane wakati wewe mke wa mwanasiasa umekaa barazani unaangalia tv? Hii ni akili au tope?
Wao wamekazania tume huru,madaraka ya raisi na dual citizenship.Haya yanamsaidiaje mzee aliyeko Nkansi huko RukwaSuala la katiba mmeliweka kisiasa sana ndio maana halitafanikiwa. Huwezi kumwambia mtanzania wa kawaida aingie barabarabi kuadai katiba asiyojua itamsaidia nini. Mngeweka jitihada kuwaelekeza watanzania umuhimu wa katiba mpya washawishike akilini haswaaa, vinginevyo mtaidai kwenye mitandao hadi mtazeeka. Kila post mnayoweka mngekuwa mnataja udhaifu wa katiba ya sasa na kuweka maboresho yake kwenye katiba mpya
Katiba liyopo ndiyo inasema watu tuumizwe?we unatumia JF alafu haujui kama katiba iliyopo inakuumiza usingekua unadaiwa na nchi zingine tungekuwa na uchumi wa kujitegemea kama tukipata katiba mpya
Viongozi wakubwa wa mhimili wanafanya hivyo maana wameondolewa Kinga ya kushitakiwa. Tumia akiliKwani katiba tuliyonayo inaruhusu wizi na utoroshaji wa mali za umma?
Si ndiyo nchi zingine zinavyofanya? Hata Rais wa marekani ana uwezo wa kujifutia makosa akiwa madarakani lakini akirudi uraiani anadakwa tuu.Sana tu. Kinga ipo mpka anakufa, na why tusubiri had amalizw muda wake kama vitu viko wazi?
Madam huu UPEPO HAIEPUKIKI....kusanya familia yako nenda kaandamane mnawaza mambo ya kijinga mnaacha kufanya kazi familia zile mm ni MTanzania na Rais wangu ni Samia kaandamane na mwenyewe
Umemaliza mjadala.kusanya familia yako nenda kaandamane mnawaza mambo ya kijinga mnaacha kufanya kazi familia zile mm ni MTanzania na Rais wangu ni Samia kaandamane na mwenyewe
Huku hata akitoka bdo kinga ipo imara zaidi ya alivyokuwa madarakani. 😁Si ndiyo nchi zingine zinavyofanya? Hata Rais wa marekani ana uwezo wa kujifutia makosa akiwa madarakani lakini akirudi uraiani anadakwa tuu.
Kwa hiyo katiba iliyopo ndiyo imewaambia wafanye wizi siyo?Viongozi wakubwa wa mhimili wanafanya hivyo maana wameondolewa Kinga ya kushitakiwa. Tumia akili
Ndiyo katiba inasema hivyo?Huku hata akitoka bdo kinga ipo imara zaidi ya alivyokuwa madarakani. 😁