Mandamano yaitishwe nchi nzima kushinikiza kupatikana katiba mpya ili kudhibiti mafisadi wa CCM. Vinginevyo tukisubiri baada 2025 tutaumia

Mandamano yaitishwe nchi nzima kushinikiza kupatikana katiba mpya ili kudhibiti mafisadi wa CCM. Vinginevyo tukisubiri baada 2025 tutaumia

Shida ya Suala la Katiba ni kwamba Watanzania wengi hawajui Umuhimu wake na wala hawajui inaathiri vipi maisha yao na wengine hawajui Hata kama Katiba yenyewe ipo kwa kifupi more than80% ya watanzania awana Elimu ya Katiba. Kitendo iki cha Kutokuwa na Elimu ya Katiba watawala wanakitumia kama fursa na kujifichia umo ndio maana wanasema Takwa la Katiba Mpya ni La kisiasa zaidi na ni hitaji la Watanzania wachache kitu ambacho uenda kikawa ni kweli Sababu Watanzania wengi vijijini hawajui kama Katiba yenyewe kama ipo na wala hawaongelei Kutaka ibadirishwe na hawa ndio wengi.Naamini Kama Watu watajikita kutoa Elimu ya Katiba Mpya Hadi vijijini Uenda itasaidia Sauti ya Watanzania wengi kusikika wakitaka Katiba Mpya Tofauti na sasa na kusaidia upatikanaji wake.Naamini Katiba Mpya ni sasa na sio baada ya 2025 Lakini jiulize Nchi hii Maandamano gani Yalishawahi kufanikiwa pindi yalipoitishwa Jibu ni Hakuna.So tutafute njia nyingine sio Kuandamana labda neno Kuandamana limetumika kwania ya kuendelea na sarakasi za Kisiasa ili kutufanya tuendelee kuwa relevant politicaly.Tunahitaji Serious Strategy sio blaablaa
 
Nyie chadema sijui mna Akili gani...hivi Kenya SI Wana katiba mpya na nzuri kushinda yetu?mbona ufisadi ni mkubwa kushinda wetu?...katiba is just a piece of papers...na mwanadamu ndo anaiongoza hivyo lolote linaweza kutoka...
NB: ni wajinga tu ndo wanaamini KATIBA ndo suluhisho la matatizo yetu
Umejuaje kuwa Kenya kuna ufisadi mkubwa kuliko kwetu? Wametushinda kwa kiwango gani? Na huo ufisadi ulipimwaje?

Amandla...
 
Bila kuwa na katiba itayodhibiti wizi na utoroshaji wa mali za umma. Tunakwenda kuumia. Maana hii miaka mitatu mpaka uchaguzi mkuu ufanyike tutaibiwa sana.

Mandamano yaitishwe nchi nzima bila kujali itikadi zetu.

Tupate katiba ambayo hata Rais au waziri akifanya ufisadi anafikishwa mahakamani bila kinga.

Ikiwezekana anyongwe hadharani.
Suala la wizi na Ufisadi ni Hulka na sifa za mt ,haitokani na uwepo wa katiba Mpya kamwe.
Kinachoonesha ni kwamba watanzania wengi wanasilka ya WIZI, na kwa muktadha huu Taifa hili litandelea kudidimia.
Hata kama tutaweka Katiba Mpya ,bado Mwanya ukipatikana ,wizi utaendelea.
Enzi za Miaka ile ya 60's na 70's ,viongozi wetu wengi walikuwa wazalendo na hawakua wizi. Kwa sababu hawakuwa na silka hizo, na kiukweli walikuwa masikini sana kuliko sisi leo.
Nakumbuka Wabunge walikuwa wanapanda Basi la KAMATA kwenda DODOMA Bungeni, wakifika wanapeleka ticket zao nakurudushiwa nauli.

Leo Kila Mbunge ana Pajero na Milioni 12, za mshahara mbali 10 za jimbo..

Mimi nadhani Tutumieni sheria ya Kiislamu kuwadhibiti WEZI na Mafisadi.
MWIZI AKATWE MKONO, MZINIFU APIGWE MAWE, MBAKAJI ATUPWE KWENYE GEMA LA MLIMA NK.
Walevi wachapwe bakora.
Kiukweli uzinzi na Ulevi ndivyo vinachangia wizi.
 
naunga mkono hoja, najiuliza kwanini wapo busy kuzurula na madege yetu, mara huyu yupo na anuani za makazi na wale wapo kuzindua filamu, CAG analeta ripoti mezani watu wanaikimbia mbio kwenye filamu wakati sisi huku tunalia maisha magumu. Yaani wanashindwa kulinda mali kidogo tulizonazo kuzilinda kwa kupitia ripoti za CAG wao mbio kukopa ili waendelee kuziiba. Wanatukomoa au wana lengo gani na sisi??
 
Hilo la MAANDAMANO haliwezekani maana Tanzania unaweza ishi bila taabu hata kama huna ajira wala kazi inayoeleweka maana kuna hela nyingi za kifisadi zinatembea mitaani ambayo haipo kwenye mfumo wa Serikali ... kwahiyo ni ngumu kumshawishi mtu kwenda kuandamana wakati anapata milo hata miwili kwa siku... Ila kwa spidi ile ya Mwendazake ya kutubana kwa miaka kadhaa hata muuza kitumbua, mihogo na karanga angepewa EFD machine, MSOTO ungewafanya watu kutokwa na uvumilifu pengine lingetokea.... MAFISADI WAJANJA SANA WANAJUA JINSI YA KUNDESHA NCHI KIWIZI...
 
Back
Top Bottom