Dar kaja ukubwani huyo, anazungumzia na kuweka picha za sam nujoma lakini anaiita mandela, sijui kama port excess road aliikuta.Kwenye picha sio Mandela Road ni Sam Nujoma Road.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar kaja ukubwani huyo, anazungumzia na kuweka picha za sam nujoma lakini anaiita mandela, sijui kama port excess road aliikuta.Kwenye picha sio Mandela Road ni Sam Nujoma Road.
Tuombe Mungu milele na milele wamachinga wasiivamie, maana hawa watu wana nguvu kwa wanasiasa balaaHongera kwa kutoa kongole. Nakumbuka kuna siku niliamua nitoe uchovu wa mwili nikaamua kukanyaga kwa mguu kutoka Ubungo mpaka Mwenge, yaan nilitembea bila bughudha eneo la watembea kwa miguu. Aliyeijenga kuanzia mtoa tenda na mpokeaji wapewe pongezi walizingatia mambo ya muhimu.
Ila mkuu samahani hiyo camera yako inaumwa mafua?
Nikweli Mandela road iliyojengwa kwa Pesa za sijui ni mkopo au Msaada kutoka Japan ni barabara nzuri yenye ubora licha ya kupita malori yote ya mizigo kutoka bandarin lakini iko imara sana tatizo ni moja ya barabara yenye foleni kubwa sana hapa mjini NB hiyo picha ni Sam Nujoma RoadHii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa.
Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic
Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.
Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.
My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.
Huu ni mfano bora.
UZI TAYARI
View attachment 2869540View attachment 2869542
Tree top? Au ulimaanisha tip top? Pale lilipo daraja hapajawahi kuwa tip top bali paliitwa manzese msufini b4 darajaNdio wale walijenga fly over treetop manzese na mzee ruksa kuifungua rasmi na kusema sasa Dar ni kama london?
HIyo barabara hata miaka kumi bado haijaisha tangu kukariabatiwa imeanza kupigwa virakaKwangu mimi barabara bora ni ile ya Mwanza - Sirari inaitwa Sirari road
Maltauro Spencon na Strilng JVIlirudiwa miaka ya 2010+ na JV ya spencon na wakandarasi wengine nimewashau jina.
Umeshaona wewe barabara za machame kijijini ndani ndani huko full lamiHIyo barabara hata miaka kumi bado haijaisha tangu kukariabatiwa imeanza kupigwa viraka
Kwani mlijenga nyie ? Mlitumia madaraka vibaya kujengwa sehemu yenye mataahira wengi.
Mimi nilijua zimepinduana kwa sababu ya mapinduzi.Hahahahaha😀😀😀
Jielimishe kwanza. Hiyo sio Mandela Rd, ni Sam Nujoma Rd.
Hiyo barabara ina mazingira mazuri tu inavutia kuendesha, lakini haina ubora. Lau magari yanayopita Mandela Rd yanayobeba macontainer na heavy traffics yangekuwa yanapita hapo usingeisifia hiyo barabara.
Aliyejenga Mandela Rd yenyewe kuanzia Ubungo hadi Kurasini naomba tumsifu, kajitahidi sana. Mabigijii yapo, hasa sehemu ambazo kuna traffic lights kwa sababu magari mazito yanasimama kwa muda kama pale Serengeti na Tabata. Ila angalau amethubutu.
Naam, wakajenga pia na Selander bridge jipya.Zamani tulikua tunafuatilia macontractors wa barabara nimewakumbuka na KAJIMA walijenga Mororogoro Road pale eneo korofi Magomeni Mapipa hadi makutano ya UN road.
Kuna Konoike pia. Hawa kama sijakosea walijenga barabara ya Sam Nujoma na ya Bagamoyo.Zamani tulikua tunafuatilia macontractors wa barabara nimewakumbuka na KAJIMA walijenga Mororogoro Road pale eneo korofi Magomeni Mapipa hadi makutano ya UN road.
Umeona sasa kazi hyoHii ngoma kama nakumbuka vizuri originally ni Mowlem, UK.
Kajima walikuwa na helicopter zaoZamani tulikua tunafuatilia macontractors wa barabara nimewakumbuka na KAJIMA walijenga Mororogoro Road pale eneo korofi Magomeni Mapipa hadi makutano ya UN road.
Sahv wanajenga barabara baada ya muda inakuwa kama Big GNikweli Mandela road iliyojengwa kwa Pesa za sijui ni mkopo au Msaada kutoka Japan ni barabara nzuri yenye ubora licha ya kupita malori yote ya mizigo kutoka bandarin lakini iko imara sana tatizo ni moja ya barabara yenye foleni kubwa sana hapa mjini NB hiyo picha ni Sam Nujoma Road
Enzi hizo Wachina walikuwa Bado wanajitafuta ,Wazungu ndio walikuwa wanajengaHii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa.
Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic
Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.
Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.
My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.
Huu ni mfano bora.
UZI TAYARI
View attachment 2869540View attachment 2869542
Kosa ni moja kuacha mifereji wazi ni uzemba na kuto Jari usalama wa watumiaji. Kama inachwa wazi basi waweke fence kwa ya usalama.Hii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa.
Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic
Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.
Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.
My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.
Huu ni mfano bora.
UZI TAYARI
View attachment 2869540View attachment 2869542
Bila kusahau BENACO sijui, walikuwa wanajenga hadi mikoani huko.Zamani tulikua tunafuatilia macontractors wa barabara nimewakumbuka na KAJIMA walijenga Mororogoro Road pale eneo korofi Magomeni Mapipa hadi makutano ya UN road.
Safi sana. Una kumbukumbu nzuri.Hii ngoma kama nakumbuka vizuri originally ni Mowlem, UK.
Hata yule wa Tinde to IsakaKweli Kabisa mkúu huyo mkandarasi apewe Maua Yake.
Na aliyejenga kipande cha Shinyanga hadi Mabuki hao watu walikuwa watu kwerikweri