Mandela Road: Barabara iliojengwa kwa viwango stahiki

Mandela Road: Barabara iliojengwa kwa viwango stahiki

Hongera kwa kutoa kongole. Nakumbuka kuna siku niliamua nitoe uchovu wa mwili nikaamua kukanyaga kwa mguu kutoka Ubungo mpaka Mwenge, yaan nilitembea bila bughudha eneo la watembea kwa miguu. Aliyeijenga kuanzia mtoa tenda na mpokeaji wapewe pongezi walizingatia mambo ya muhimu.

Ila mkuu samahani hiyo camera yako inaumwa mafua?
Tuombe Mungu milele na milele wamachinga wasiivamie, maana hawa watu wana nguvu kwa wanasiasa balaa
 
Hii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa.

Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic

Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.

Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.

My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.

Huu ni mfano bora.

UZI TAYARI

View attachment 2869540View attachment 2869542
Nikweli Mandela road iliyojengwa kwa Pesa za sijui ni mkopo au Msaada kutoka Japan ni barabara nzuri yenye ubora licha ya kupita malori yote ya mizigo kutoka bandarin lakini iko imara sana tatizo ni moja ya barabara yenye foleni kubwa sana hapa mjini NB hiyo picha ni Sam Nujoma Road
 
Hahahahaha😀😀😀
Jielimishe kwanza. Hiyo sio Mandela Rd, ni Sam Nujoma Rd.
Hiyo barabara ina mazingira mazuri tu inavutia kuendesha, lakini haina ubora. Lau magari yanayopita Mandela Rd yanayobeba macontainer na heavy traffics yangekuwa yanapita hapo usingeisifia hiyo barabara.

Aliyejenga Mandela Rd yenyewe kuanzia Ubungo hadi Kurasini naomba tumsifu, kajitahidi sana. Mabigijii yapo, hasa sehemu ambazo kuna traffic lights kwa sababu magari mazito yanasimama kwa muda kama pale Serengeti na Tabata. Ila angalau amethubutu.
Mimi nilijua zimepinduana kwa sababu ya mapinduzi.
 
Nikweli Mandela road iliyojengwa kwa Pesa za sijui ni mkopo au Msaada kutoka Japan ni barabara nzuri yenye ubora licha ya kupita malori yote ya mizigo kutoka bandarin lakini iko imara sana tatizo ni moja ya barabara yenye foleni kubwa sana hapa mjini NB hiyo picha ni Sam Nujoma Road
Sahv wanajenga barabara baada ya muda inakuwa kama Big G
Mabonde,mashimo

Ova
 
Hii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa.

Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic

Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.

Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.

My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.

Huu ni mfano bora.

UZI TAYARI

View attachment 2869540View attachment 2869542
Enzi hizo Wachina walikuwa Bado wanajitafuta ,Wazungu ndio walikuwa wanajenga
 
Hii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa.

Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic

Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari pande mbili.

Ina mifereji mipana saafii inayopitisha maji vizuri.

My take:
Mkandarasi aliejenga hii apewe tena kazi ya barabara muhimu kv Moro Kibaha Express Lane nk. Heko alempa kazi na standards za kuzingatiwa.

Huu ni mfano bora.

UZI TAYARI

View attachment 2869540View attachment 2869542
Kosa ni moja kuacha mifereji wazi ni uzemba na kuto Jari usalama wa watumiaji. Kama inachwa wazi basi waweke fence kwa ya usalama.
 
Back
Top Bottom