Mandhari ya Barabara ya Yuqie katika mkoa wa Xinjiang wa China yavutia

Mandhari ya Barabara ya Yuqie katika mkoa wa Xinjiang wa China yavutia

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Mandhari ya Barabara ya Yuqie jangwani katika mkoa wa Xinjiang inavutia katika upigaji picha wa kutoka angani baada ya mvua.

Barabara hiyo inayounganisha wilaya ya Yuli na wilaya ya Qiemo inatarajiwa kufunguliwa rasmi hivi karibuni.

VCG111389262688.jpg

VCG111389262672.jpg

VCG111389262686.jpg
 
hujaziona kona za iyovu wewe
mkeka umenyooka
pale mkandarasi hakuwa na nyege wala mavi hayakumbana alikuwa anakunywa beer tu
 
Back
Top Bottom