Mandonga aibukia Kenya na ngumi mpya aina ya Sungunyo kutoka Ukraine

Mandonga aibukia Kenya na ngumi mpya aina ya Sungunyo kutoka Ukraine

Sana mkuu, kama huna nishai mbona unapiga hela
Lakini pia uwe na mtu wa kukushika mkono mkuu, sio kukurupuka tu mwishowe uje kuwa kama kina pembe wanafanya kazi kubwa ya uchekeshaji lakini wanaishi maisha ya kawaida sana.
 
Mwamba mwenyewe, Karimu Mandonga, mtu kazi a.k.a Sungunyo kaibuka kivingine huko Nairobi Kenya na aina ya ngumi kali sana itakayomvagaa mtu tarehe 14.01.2023. kazi ya hatari inaenda kufanywa na Mandonga kaingia msitu wa Mau Mau na ngumi Sungunyo, awe Mkenya awe Mjaluo atakutana na kipigo cha ngumi Sungunyo hivi sasa yuko ndani ya msitu wa Mau Mau anajifua tayari kwa pambano kali Kwa miondoko ya ngumi mpya ya Sungunyo kutoka Ukraine.

Tumuombee Dua ya heri mwamba kwenye mediani amevuka border la wkanda wetu.

Mandonga urusi na pesa za kutosha na endorsement kama zote.

Ni hayo tu kwa uchache.

Wadiz nikiwa msitu wa Mau Mau, Kenya
Video iko wapi
 
Mwamba mwenyewe, Karimu Mandonga, mtu kazi a.k.a Sungunyo kaibuka kivingine huko Nairobi Kenya na aina ya ngumi kali sana itakayomvagaa mtu tarehe 14.01.2023. kazi ya hatari inaenda kufanywa na Mandonga kaingia msitu wa Mau Mau na ngumi Sungunyo, awe Mkenya awe Mjaluo atakutana na kipigo cha ngumi Sungunyo hivi sasa yuko ndani ya msitu wa Mau Mau anajifua tayari kwa pambano kali Kwa miondoko ya ngumi mpya ya Sungunyo kutoka Ukraine.

Tumuombee Dua ya heri mwamba kwenye mediani amevuka border la wkanda wetu.

Mandonga urusi na pesa za kutosha na endorsement kama zote.

Ni hayo tu kwa uchache.

Wadiz nikiwa msitu wa Mau Mau, Kenya
asije akafia ulingoni!!
 
Lakini pia uwe na mtu wa kukushika mkono mkuu, sio kukurupuka tu mwishowe uje kuwa kama kina pembe wanafanya kazi kubwa ya uchekeshaji lakini wanaishi maisha ya kawaida sana.

Wakina pembe wanaigiza bila mipango.

Lazima ujue kutengeneza content. Sio unaigiza igiza tu kizamani

Kuna madogo kibao wanapiga hela kuliko kina pembe. Na hawana majina makubwa... sababu wanajua kutengeneza content

Steve mweusi, chesco, dullyvan, na wengine kibao
 
Wakina pembe wanaigiza bila mipango.

Lazima ujue kutengeneza content. Sio unaigiza igiza tu kizamani

Kuna madogo kibao wanapiga hela kuliko kina pembe. Na hawana majina makubwa... sababu wanajua kutengeneza content

Steve mweusi, chesco, dullyvan, na wengine kibao
Ya ulichoongea kina ukweli, ukiwa mjanja unatoboa fasta na kuwaacha wakongwe wanashangaa.
 
[emoji1241]Atumie nafasi hiyo vizuri kuji brand huko Kenya[emoji1139]

[emoji1241] Wasanii wengi wa Tanzania wametajirika kwa supporter ya wa Kenya kupenda vitu wavifanyavyo .

[emoji1139]Wakenya wengi wanafuatilia Sana na wanapenda Sanaa na vituko vya Tanzania na hii inasababisha na kuifahamu kuongea vizuri lugha ya kiswahili, Sasa inakuwa rahisi kuzitumia kama Sanaa,Kenya wao wamechanganya kiasi Fulani Kiingereza na kiasi Fulani lugha zao za asili hivyo wanakosa ule mkong'osio wa Lugha.

[emoji1241] Msanii anaweza kuwa amefulia kabisa huku Tanzania au mnamwona wa kawaida kabisa lakini kule Kenya akienda anapokelewa kama mfalme, mfano akina Mr. Nice, Roze Mhando, Amorapa nk.

Hata nyimbo zilizokwisha kupitwa na wakati huku Tanzania kule ndio kwanzaaa Zina hiti kwenye top 10. Hata nyimbo za dini kama gospel na za kikatoliki zilizovuma zamani bongo kwao ndio asubuhi.

Mandonga Mtu kazi, Atumie vizuri kipaji chake Cha kuongea kupiga mkwara mbuzi wapinzani wake, akijipanga vizuri Wakenya wanapenda Sana maneno ni burudani kwao na nadhani hata kumwalila wamefuatilia Tambo zake.
Akijipanga vyema atakuwa anapaya mikataba mingi Sana Kenya ya promotion na madoko. Kila la heri Mandonga mtu kazi, ndoige usiyechagua pa kuupigania au mpinzani wako
Namkubali Sana mandonga ,watu hawalali had mandonga apande kwa stage

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom