Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Lakini pia uwe na mtu wa kukushika mkono mkuu, sio kukurupuka tu mwishowe uje kuwa kama kina pembe wanafanya kazi kubwa ya uchekeshaji lakini wanaishi maisha ya kawaida sana.Sana mkuu, kama huna nishai mbona unapiga hela
Video iko wapiMwamba mwenyewe, Karimu Mandonga, mtu kazi a.k.a Sungunyo kaibuka kivingine huko Nairobi Kenya na aina ya ngumi kali sana itakayomvagaa mtu tarehe 14.01.2023. kazi ya hatari inaenda kufanywa na Mandonga kaingia msitu wa Mau Mau na ngumi Sungunyo, awe Mkenya awe Mjaluo atakutana na kipigo cha ngumi Sungunyo hivi sasa yuko ndani ya msitu wa Mau Mau anajifua tayari kwa pambano kali Kwa miondoko ya ngumi mpya ya Sungunyo kutoka Ukraine.
Tumuombee Dua ya heri mwamba kwenye mediani amevuka border la wkanda wetu.
Mandonga urusi na pesa za kutosha na endorsement kama zote.
Ni hayo tu kwa uchache.
Wadiz nikiwa msitu wa Mau Mau, Kenya
Kweli machizi wengi na vichaa waliokimbia crazy for life wanamiliki simu janja na wanapenda uzuzu kupitiliza,usipokuwa na aibu unapiga hela sana tu
asije akafia ulingoni!!Mwamba mwenyewe, Karimu Mandonga, mtu kazi a.k.a Sungunyo kaibuka kivingine huko Nairobi Kenya na aina ya ngumi kali sana itakayomvagaa mtu tarehe 14.01.2023. kazi ya hatari inaenda kufanywa na Mandonga kaingia msitu wa Mau Mau na ngumi Sungunyo, awe Mkenya awe Mjaluo atakutana na kipigo cha ngumi Sungunyo hivi sasa yuko ndani ya msitu wa Mau Mau anajifua tayari kwa pambano kali Kwa miondoko ya ngumi mpya ya Sungunyo kutoka Ukraine.
Tumuombee Dua ya heri mwamba kwenye mediani amevuka border la wkanda wetu.
Mandonga urusi na pesa za kutosha na endorsement kama zote.
Ni hayo tu kwa uchache.
Wadiz nikiwa msitu wa Mau Mau, Kenya
Shot timed fights 3-6 rounds na soft boxers like.Anapigana January ~December 2023 Hapati Muda Wa Kupumzika
Lakini pia uwe na mtu wa kukushika mkono mkuu, sio kukurupuka tu mwishowe uje kuwa kama kina pembe wanafanya kazi kubwa ya uchekeshaji lakini wanaishi maisha ya kawaida sana.
Ya ulichoongea kina ukweli, ukiwa mjanja unatoboa fasta na kuwaacha wakongwe wanashangaa.Wakina pembe wanaigiza bila mipango.
Lazima ujue kutengeneza content. Sio unaigiza igiza tu kizamani
Kuna madogo kibao wanapiga hela kuliko kina pembe. Na hawana majina makubwa... sababu wanajua kutengeneza content
Steve mweusi, chesco, dullyvan, na wengine kibao
Raundi zenyewe mbili tu acha apigane mwaka mzimaAnapigana January ~December 2023 Hapati Muda Wa Kupumzika
Namkubali Sana mandonga ,watu hawalali had mandonga apande kwa stage[emoji1241]Atumie nafasi hiyo vizuri kuji brand huko Kenya[emoji1139]
[emoji1241] Wasanii wengi wa Tanzania wametajirika kwa supporter ya wa Kenya kupenda vitu wavifanyavyo .
[emoji1139]Wakenya wengi wanafuatilia Sana na wanapenda Sanaa na vituko vya Tanzania na hii inasababisha na kuifahamu kuongea vizuri lugha ya kiswahili, Sasa inakuwa rahisi kuzitumia kama Sanaa,Kenya wao wamechanganya kiasi Fulani Kiingereza na kiasi Fulani lugha zao za asili hivyo wanakosa ule mkong'osio wa Lugha.
[emoji1241] Msanii anaweza kuwa amefulia kabisa huku Tanzania au mnamwona wa kawaida kabisa lakini kule Kenya akienda anapokelewa kama mfalme, mfano akina Mr. Nice, Roze Mhando, Amorapa nk.
Hata nyimbo zilizokwisha kupitwa na wakati huku Tanzania kule ndio kwanzaaa Zina hiti kwenye top 10. Hata nyimbo za dini kama gospel na za kikatoliki zilizovuma zamani bongo kwao ndio asubuhi.
Mandonga Mtu kazi, Atumie vizuri kipaji chake Cha kuongea kupiga mkwara mbuzi wapinzani wake, akijipanga vizuri Wakenya wanapenda Sana maneno ni burudani kwao na nadhani hata kumwalila wamefuatilia Tambo zake.
Akijipanga vyema atakuwa anapaya mikataba mingi Sana Kenya ya promotion na madoko. Kila la heri Mandonga mtu kazi, ndoige usiyechagua pa kuupigania au mpinzani wako
Mi nashauri barabara zifungwe kama anapita rais wa nchi ili ambulance inapomkimbiza hospitali isipate usumbufuVitu kama machela visiwe mbali siku hiyo
Ngumi pia ni Sanaa Kama ulivo mchezo wampira vumiliaIla jaman huyu jamaa apumzike basi anafanya ngumi km mpira kweli aweke gape kidogo
Duh ni very dangerousKaka etu Kuna siku atapigwa aharishe Figo.
Awe professional basi ndo kila week [emoji3][emoji2][emoji1]Ngumi pia ni Sanaa Kama ulivo mchezo wampira vumilia
acha atumike watu hawanapesa ,siunaona ya Fei bebi wa yangaAwe professional basi ndo kila week [emoji3][emoji2][emoji1]