Mandonga amerudi upya, amekuja na Ngumi SGR, unapigwa Tanga kuzinduka Dar

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Bondia wa Ngumi nchini Karim Mandonga ametamba kuonyesha Ngumi ya SGR katika Pambano la Ngumi ya Tanga litakalofanyika Novemba 16 likiwa ni kuhamasisha wananchi kushiriki kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mandonga aliyoa tambo hizo wakati wa mkutano na waandishi wa Habari kuelekea pambano hilo ambalo ni moja ya mapambano ambayo yameandaliwa na Kampuni ya Ngumi za Kulipwa ya Mafia Boxing Promotion yatakayofanyika kwenye viwanja vya CCM Mkwakwani Mjini Tanga ambapo Alisema kwamba unapigwa ngumi Tanga unakwenda kuzindukia Dar.
Your browser is not able to display this video.
 
Ameshaanza kutumiwa na wana siasa,hii imeendaaaaaa
 
Ingekuwa ngumi zinapiganwa kwa mdomo huyu jamaa angekuwa world champion.
 
Mwanzo wa mwisho
 
Hana jipya tena tulikuwa excited mwanzoni but 4now hana jipya maneno yale yale,tambo zile zile, kama hawajawekeza hivo visenti alivyovipata muda si mrefu atarudi kupiga debe kama mwanzo.
 
Huyo anafahamika..

Akikupiga ndo kashakupiga....

Ukimpiga ni kama Kakupiga tu...

Muulizeni Kaoneka hili analijua...!
 
Hana jipya tena tulikuwa excited mwanzoni but 4now hana jipya maneno yale yale,tambo zile zile, kama hawajawekeza hivo visenti alivyovipata muda si mrefu atarudi kupiga debe kama mwanzo.
Wabongo tunaombeana sana njaa.

 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…