Mandonga ametua Kenya, huyu jamaa huchekesha sana

Mandonga ametua Kenya, huyu jamaa huchekesha sana

Boxing ilikua haina mvutio Kenya, vile media zilionyesha vioja vya Mandonga jamaa ali trend kwa mitandao za kijamii, kilichofuata ukumbi wa KICC ulijaa kabisa.., sikujua eti pigano lake na Wanyonyi ilikua tu ya kufungua uwanja kabla ya main bout, watu walivutiwa zaidi kwa ajili yake, the guy is a good marketer, alitengenezea waandalizi wa mechi zile hela mingi kwa kuvutia mashabiki, hope alipewa hela ndefu kama shukrani, sasa anapendwa pia na wakenya, amepata ma fans.
 
Boxing ilikua haina mvutio Kenya, vile media zilionyesha vioja vya Mandonga jamaa ali trend kwa mitandao za kijamii, kilichofuata ukumbi wa KICC ulijaa kabisa.., sikujua eti pigano lake na Wanyonyi ilikua tu ya kufungua uwanja kabla ya main bout, watu walivutiwa zaidi kwa ajili yake, the guy is a good marketer, alitengenezea waandalizi wa mechi zile hela mingi kwa kuvutia mashabiki, hope alipewa hela ndefu kama shukrani, sasa anapendwa pia na wakenya, amepata ma fans.
Sasa muache kusema kwamba wakenya ndio wanawapa watanzania umaarufu. Ni watanzania ndio wanaoamsha wakenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa muache kusema kwamba wakenya ndio wanawapa watanzania umaarufu. Ni watanzania ndio wanaoamsha wakenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Inferiority complex on display, mmezubaa, tusipowatukana ama kuwa tag kwa mitandao hamjulikani, mpo mpo tu, shukuru the types of Mandonga who makes Tz to trend, la sivyo mmekomaa tu vijiweni mkizembea na kuzubaa zubaa tu😂 😂 😂 😂 😂 😂 ,
 
Inferiority complex on display, mmezubaa, tusipowatukana ama kuwa tag kwa mitandao hamjulikani, mpo mpo tu, shukuru the types of Mandonga who makes Tz to trend, la sivyo mmekomaa tu vijiweni mkizembea na kuzubaa zubaa tu😂 😂 😂 😂 😂 😂 ,
Nyie nyang'au ni makapuku tu.
 
Inferiority complex on display, mmezubaa, tusipowatukana ama kuwa tag kwa mitandao hamjulikani, mpo mpo tu, shukuru the types of Mandonga who makes Tz to trend, la sivyo mmekomaa tu vijiweni mkizembea na kuzubaa zubaa tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,
Tulipowashinda kwenye mziki mlisema wakenya ndio waliofanya mziki wa Tanzania kujulikanea, tumewadhihirishia katika "Boxing" kwamba Tanzania ndio baba wa EA, wengine heheheeee, mnaiga tu[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tulipowashinda kwenye mziki mlisema wakenya ndio waliofanya mziki wa Tanzania kujulikanea, tumewadhihirishia katika "Boxing" kwamba Tanzania ndio baba wa EA, wengine heheheeee, mnaiga tu[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Who won the main bout by the way? do u know?..., vioja vya Mandonga visifanye ujikoseshe ufahamu..,
alafu chunga usikue next after the next 52 hours..,
1673956401912.png
 
Who won the main bout by the way? do u know?..., vioja vya Mandonga visifanye ujikoseshe ufahamu..,
alafu chunga usikue next after the next 52 hours..,
View attachment 2484614
Muhimu ni kwamba, mtanzania ndiye aliyekuja kufufua "boxing industry" yenu, Ali Kiba, Diamond na Harmonize ndio walikuja kuizika "music industry" yenu[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom