SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huu ushindi wa mchongo ndiyo utamponza aje afie ulingoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mchongo; jana Mandonga alishinda kihalali kabisa. Mbelwa alipigwa.Huu ushindi wa mchongo ndiyo utamponza aje afie ulingoni
Nyie mvimbisheni ichwa huyu mchekeshaji ajione bondia kweliHakuna mchongo; jana Mandonga alishinda kihalali kabisa. Mbelwa alipigwa.
hataki kumsikia mtu huyo kwenye maisha yake.Mi nataka ampige Kaoneka...
Hapo ndio nitamuelewa.
Sasa kama amempiga Mbelwa mpaka akapigika tusiseme?Nyie mvimbisheni ichwa huyu mchekeshaji ajione bondia kweli
Hongera SanaView attachment 2427503Bondia Karim Mandonga ameshinda pambano dhidi ya Said Mbelwa kwa TKO katika raundi ya 6 kwenye pambano lisilo la ubingwa Uzito wa Kati, leo Novemba 25, 2022.
Akizungumza baada ya pambano hilo lililofanyika Mkoani Morogoro, Mandonga amesema “Sikubahatisha, nimempiga ulingoni na kama hakubali hata nikikutana mtaani nitampiga tena, Ndoige ni ngumi inayokata kona.”