Walichokiteta sio kizuri sidhani kama unawapend waliosema ivo.Baada ya utambulisho
Wakamwambia pembeni " demu wako kafanana na baba"
Chunga kinywa chako.Dah aseee Mimi nimewahi kuwajibu watu maneno mabaya mpk naombeni msamaha walimwengu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama nauona mtungi wa Bibi yangu kule Moshi,jameni so mliishia wapikuna mzee mmoja alikua hataki nisitembee na binti yake.Sasa cku moja alinifata kijiweni mbele ya washkaji ngoja ni mnukuu "ctaki ufala wako kwangu unataka mwanangu aje azae mtoto ana mashavu kama mtungi" nilijickia vibaya sana kwa kudhalilishwa kule mbele ya watu nikajiondokea kwenda gheto kujiangalia kwenye kioo hayo mashavu kama mtungi lakin cku yaona.
Ila mapenz ndo kama aliyachochea binti alidata kupita maelezo.
Pole sana me too..Baada ya utambulisho
Wakamwambia pembeni " demu wako kafanana na baba"