rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Mimi aliniomba 100K aongeze kwenye kodi wakati me mwenyewe kodi jau enzi za chuo hizo nikamwambia asubiri nipate boom. Akasema mwanaume wa kutegemea boom nae mwanaume sasa[emoji24][emoji24][emoji24]
Kitu gani cha dharau alichowahi kukwambia babe wako alipokuomba hela ukasema huna?
Kitu gani cha dharau alichowahi kukwambia babe wako alipokuomba hela ukasema huna?