Maneno gani ya dharua uliambiwa yakakuumiza sana

Uwe waniTag ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana si kwa comments hizi
Usijar cc ntakua nakutag wallah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Mwanaume mzima huwezi kumaliza kreti 3 za safari"
Nilikasirika sana toka siku hiyo nikawa mnywaji wakutisha sana
Heeeeeeh makubwa haya lol, yeye anamaliza 10? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Karma is a bitch
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nyambafuuuuu na mlipe mikopo yenu....baada boom iwasaidie msome vizuri mnaaza kutafta vischana na kuongaa,mkiaza kudaiwa mnalia liaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Nilijua tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu sisi wanywaji ndio tunawaowaga nyie[emoji7]
 
"mwanaume mzima unaishia kwenu ,unazidiwa na mdogo wangu wa shue ya msingi amepanga ":nilifungasha vilago siku hyo hyo siku ya kwanza nililala nje siku ya 6 nikachukua getho la buku 5 saiv getho nalipia 150k per month ila ile kauli inaniuma kila kukicha
 
Kuna jemba zingine midomo Kama dampo, unatamani umwambiye, hivyo huyo mama alifikisha ujumbe kwako, kunuka mdomo ni balaa hata kama unakula waweza tapika.piga mswaki tumia Listerine
 
Nilijua tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu sisi wanywaji ndio tunawaowaga nyie[emoji7]
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna jemba zingine midomo Kama dampo, unatamani umwambiye, hivyo huyo mama alifikisha ujumbe kwako, kunuka mdomo ni balaa hata kama unakula waweza tapika.piga mswaki tumia Listerine
[emoji1][emoji1] Kweli mkuu. Mi sijui kama wangu unanuka na sijawahi kuambiwa na yeyote mwingine zaidi ya huyo mama. Lakini ntajitahidi kufuata ushauri wako inawezekana watu wananivumilia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…