Maneno 'HAPA KAZI TU' yaondolewe kwenye mali za nchi, yanatia aibu na wala hayana maana yoyote

Maneno 'HAPA KAZI TU' yaondolewe kwenye mali za nchi, yanatia aibu na wala hayana maana yoyote

Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Dr mollel
 
Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa wahusika wote pamoja na wenye mali ambao ni wananchi.

Kuwepo kwa maneno haya ya kijinga kwenye ndege zilizonunuliwa kwa hela za wananchi, au unaweka maneno haya kwenye meli zetu ni upuuzi usio na mfano. Haya yanafanywa na makondakta wa daladala za DSM kwa lengo la kujiliwaza kutokana na foleni za mkoa huo.

Kama tunataka kuchorachora ndege zetu au meli zetu basi tuchore maandishi ya maana, kama Timu ya Simba imeweka nembo ya 'VISIT TANZANIA', kwanini msifanye hivyo kwenye mali za Taifa badala ya kutuwekea mavitu yasiyo na maana?

Hivi ukiulizwa na wageni maana ya 'HAPA KAZI TU' utajibu nini? mbona mnatudhalilisha kirahisi namna hii? Tafadhali sana TUHESHIMIANE.
Kwa kweli nakuonea huruma, unastahili huruuma na si kingine. Una mawazo 100% diametrically opposed na Watanzania waliopiga kura 83%/13% clean, kumchagua Rais wao wewe unamtukana?

Kikawaida ungestahili adhabu kali, ni uhaini kupinga uamuzi wa juu kiasi hicho. Adhabu ya uhaini ni kubwa, tena kubwa sana. Watanzania unaweangaliaje machoni hawo 87% walioafiki na msimamo, wakautenda? Tulisema 100% tuhamie Dodoma mwaka 1984 kwa referendum, lakini hatukuenda hadi HAPA KAZI TU. Unataka tufute Dodoma?

Kuna flyovers za Mfugale na Magufuli na tanzanite na Ubungo, matunda ya HAPA KAZI TU, unataka tuzibomoe? SGR inafika Shinyanga, ya umeme, against strong competition from Kenya, ya dizeli, 2x more expensive half as long, HAPA KAZI TU. Air Tanzania inapeleka ukulu wa Tanzania duniani kote, imeboresha usafiri Nchi hii kubwa sana, HAPA KAZI TU, huoni?

Tumevamiwa COVID, mabeberu wakasema tutaokotwa mizoga barabarani wakaokotwa wao, HAPA KAZI TU, umesahau lock down na Mufti na Maaskofu wakiomba huruma ya Mungu kwa pamoja tukapona, HAPA KAZI TU, wewe ulitaka iweje?l

Please say sorry.
 
Kwa kweli nakuonea huruma, unastahili huruuma na si kingine. Una mawazo 100% diametrically opposed na Watanzania waliopiga kura 83%/13% clean, kumchagua Rais wao wewe unamtukana?

Kikawaida ungestahili adhabu kali, ni uhaini kupinga uamuzi wa juu kiasi hicho. Adhabu ya uhaini ni kubwa, tena kubwa sana. Watanzania unaweangaliaje machoni hawo 87% walioafiki na msimamo, wakautenda? Tulisema 100% tuhamie Dodoma mwaka 1984 kwa referendum, lakini hatukuenda hadi HAPA KAZI TU. Unataka tufute Dodoma?

Kuna flyovers za Mfugale na Magufuli na tanzanite na Ubungo, matunda ya HAPA KAZI TU, unataka tuzibomoe? SGR inafika Shinyanga, ya umeme, against strong competition from Kenya, ya dizeli, 2x more expensive half as long, HAPA KAZI TU. Air Tanzania inapeleka ukulu wa Tanzania duniani kote, imeboresha usafiri Nchi hii kubwa sana, HAPA KAZI TU, huoni?

Tumevamiwa COVID, mabeberu wakasema tutaokotwa mizoga barabarani wakaokotwa wao, HAPA KAZI TU, umesahau lock down na Mufti na Maaskofu wakiomba huruma ya Mungu kwa pamoja tukapona, HAPA KAZI TU, wewe ulitaka iweje?l

Please say sorry.
Kwi Kwi Kwi
 
Back
Top Bottom