Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wastaafu wenzakeKatika hotuba yake kwenye mazishi ya JPM, Jakaya alisema:
"Mimi na wenzangu tuko na wewe. Tutume tutaitika. Usipotutuma tutaendelea na mambo yetu"- JK
My Take: wenzake kina nani? Mambo yao yepi?
Akiwa makamu wa Rais nchi itaendelea kunyoka!! Anaogopwa tayari, mama hatakuwa na Kazi kubwa kukabiliana na wakorofi!!Huyu jamaaa kama namuona akilamba keki sehemu , hili jamaa Lina nyota Kali Sana
View attachment 1735477
Riz 1 anataka kupenyezwa!! chonde chonde!! Nchi itapigwa balaa!! Mungu apishe mbali!!Wapigaji!
Kuna kipindi watu walijaribu kuwashwa washwa wakapigwa spana, sasa ruksaa kuwashwa washwa.Mjanja wa mjini anataka amuingize kenge Mama Samia. Magu alikuwa amewabana mbavu, ingawa hawasemi lakini inawezekana timu JK imefurahi kwa kuondoka MAGU.
Waliobanwa mbavu ni wastaafu mafao yao, watumishi wa umma ambao hawajawahi kupandishiwa mishahara, wakulima wa korosho, wafanyabiashara wadogo waliolazimishwa vitambulisho vya elfu 20, wafanyabishara wakubwa ma wadogo waliofunga biashara kwa kodi za makadirio makubwa, waliookotwa kwenye viroba n.k kwa uchache tu hawa ndio waliobanwa mbavuMjanja wa mjini anataka amuingize kenge Mama Samia. Magu alikuwa amewabana mbavu, ingawa hawasemi lakini inawezekana timu JK imefurahi kwa kuondoka MAGU.
VemaWenzake ni Viongozi Wakuu wa staafu: Marais, Makamu Rais, Waziri Wakuu, Maspika, Majaji Wakuu etc ambao hata Magufuli alikuwa anawatumia wakati mwingine wamwakilishe katika baadhi ya matukio na si jambo jipya.
Kuhusu kuendelea na mambo yao ni kama vile alivyosema wakati Samia anatangaza kifo cha JPM yeye alikuwa anapiga soga na wazee wenzake wa kijijini. Hilo ni miongoni mwa mambo yake, pamoja na kilimo na ufugaji mdogo anaofanya.
Mitano tenaMjanja wa mjini anataka amuingize kenge Mama Samia. Magu alikuwa amewabana mbavu, ingawa hawasemi lakini inawezekana timu JK imefurahi kwa kuondoka MAGU.
Sio kazi yako kujua.Katika hotuba yake kwenye mazishi ya JPM, Jakaya alisema:
"Mimi na wenzangu tuko na wewe. Tutume tutaitika. Usipotutuma tutaendelea na mambo yetu"- JK
My Take: wenzake kina nani? Mambo yao yepi?