Maneno haya ya Kikwete kwa Rais Samia yana ujumbe mzito mno

Maneno haya ya Kikwete kwa Rais Samia yana ujumbe mzito mno

Katika hotuba yake kwenye mazishi ya JPM, Jakaya alisema:

"Mimi na wenzangu tuko na wewe. Tutume tutaitika. Usipotutuma tutaendelea na mambo yetu"- JK

My Take: wenzake kina nani? Mambo yao yepi?
Wastaafu
 
Akiwa makamu wa Rais nchi itaendelea kunyoka!! Anaogopwa tayari, mama hatakuwa na Kazi kubwa kukabiliana na wakorofi!!
Uongozi sio kutafutiana na kubambikiana makosa kama alivyokuwa anafanya huyo bashite, kuvamia vituo vya radio na mitutu, Yaani jambazi aje kuwa VP.?

Huyo kwanza asubiri mashtaka yake huko mbeleni maana jinai haina kikomo.
 
Wenzake wastafu, kama akina Malechela, Pinda na wengine wastafu wenzie. Wataendelea na mambo yao wanayoyafanya sasa hivi, kama kulima mananasi, mahindi. Au unawafanyia wewe mambo yao?. Mbona simple tu...! Nyie ndio mnaoifanya dunia iwe ngumu kukalika nyie, kila neno la mtu unaanza kulitafutia tafsiri yako. Utachelewa
We ni rafiki ambae hatujuani .kuna watu wanawaza mambo kwa ugumu sana
 
Kunywa wine ....nitalipa Mei mosi
Waliobanwa mbavu ni wastaafu mafao yao, watumishi wa umma ambao hawajawahi kupandishiwa mishahara, wakulima wa korosho, wafanyabiashara wadogo waliolazimishwa vitambulisho vya elfu 20, wafanyabishara wakubwa ma wadogo waliofunga biashara kwa kodi za makadirio makubwa, waliookotwa kwenye viroba n.k kwa uchache tu hawa ndio waliobanwa mbavu
 
Back
Top Bottom