Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
WastaafuKatika hotuba yake kwenye mazishi ya JPM, Jakaya alisema:
"Mimi na wenzangu tuko na wewe. Tutume tutaitika. Usipotutuma tutaendelea na mambo yetu"- JK
My Take: wenzake kina nani? Mambo yao yepi?
Uongozi sio kutafutiana na kubambikiana makosa kama alivyokuwa anafanya huyo bashite, kuvamia vituo vya radio na mitutu, Yaani jambazi aje kuwa VP.?Akiwa makamu wa Rais nchi itaendelea kunyoka!! Anaogopwa tayari, mama hatakuwa na Kazi kubwa kukabiliana na wakorofi!!
Riz 1 anataka kupenyezwa!! chonde chonde!! Nchi itapigwa balaa!! Mungu apishe mbali!!
We ni rafiki ambae hatujuani .kuna watu wanawaza mambo kwa ugumu sanaWenzake wastafu, kama akina Malechela, Pinda na wengine wastafu wenzie. Wataendelea na mambo yao wanayoyafanya sasa hivi, kama kulima mananasi, mahindi. Au unawafanyia wewe mambo yao?. Mbona simple tu...! Nyie ndio mnaoifanya dunia iwe ngumu kukalika nyie, kila neno la mtu unaanza kulitafutia tafsiri yako. Utachelewa
Waliobanwa mbavu ni wastaafu mafao yao, watumishi wa umma ambao hawajawahi kupandishiwa mishahara, wakulima wa korosho, wafanyabiashara wadogo waliolazimishwa vitambulisho vya elfu 20, wafanyabishara wakubwa ma wadogo waliofunga biashara kwa kodi za makadirio makubwa, waliookotwa kwenye viroba n.k kwa uchache tu hawa ndio waliobanwa mbavu