Maneno maarufu secondary za bweni

Kulenga- kwenda kunya
Mzaire- mtu unaeishi nae bwen moja
 
Pola,nyuji,CD(BUMUNDA),TOP LAYER(LAYER YA MAFUTA KWENYE MAHARAGE)
 
Top layer- sehemu ya juu ya uji ukiwa kwenye chombo!
Katara- andazi la ngano ile ya kienyeji
Ngao- half cake
 
Chipanga-mwalimu mkuu
Sketi-demu/mademu
Chimbo-sehemu tulivu ambapo hakuna mtu mwingine anayeijua ila wewe tu pa kusomea,
Master-mwanafunzi aliebobea kupiga Punyeto,pia anaefaulu sana.
Paroko-mwanafunzi aliebobea kupiga Punyeto ambae hana mpango kabisa na mademu,
Kudigi-kunya,
Focal length -ticha wa physics,
Ndonga-mwanafunzi anaeongoza kidato fulani,,
Madam sokwe-ticha wa English,
Buga/bwanga-suruali kubwa kuliko mwili,
 
jicho= spy wa waalimu, maharage =sumu ya wasomi,

Kukwea mnazi=kugonga nyeto
Mlolo=bakuli la uji
Savimbi=porini
Pola=uji
Master=headmaster
Shada=bange

Kulikuwa kuna kijito kando ya shule kinaitwa kipwela ambako tulikuwa tunapenda kwenda kuoga.Sasa Kuna jamaa alikuwa anaitwa mudi huyo akiongea kama uko karibu unalowa na mate washikaji ikabidi wamuite mudi kipwela

Street children=watoto wa walimu hasa wale wadogo ambao mda mwingi wanakuwa wachafu kwa kucheza kwenye kwenye mavumbi
Prepo=wote kwenda kujisomea kuanzia saa 1 mpaka 4 usiku
Madida=wali
Mbushi=mwanakijiji
Kipusa=iwapo unatafutwa na teacher ili uadhibiwe kwa kutokuwepo class,kwenye roll call au kutofanya kazi
Mneli=fegi
Mwezi dume=miezi ambayo vihela mlivotoka navyo home vimeisha Hali inakuwa ngumu na uwizi unashamiri
Dava =ndizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…