bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Machino>>much know
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Than=ThenKwenye booking mzee hakukosea kwani alikueleza kuwa ukauweke sehemu ya booking than gari ikija utaondoka, nadhani hakukuwa na goods shade.
Tetea kombe mkuuIla kweli aisee Bongo hata mtu akiongea kingereza kidogo utasikia msomi yule....[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
Wataalamu wa lugha husema kwamba lugha ni kitu hai; hukua na kufa. Lugha kadhaa hapa duniani zilikua kisha zikafa mazima, kama kilatini, sanskrit n.k. Sijui jinsi lugha zinavyokufa mazima ila najua jinsi maneno ya lugha fulani yanavyobadili maana.!
Ndiyo nilitaka kuulizia hilo pamoja na local market!! Itakuwa soko la hovyo hovyo? Ninavyojua neno local ni kinyume cha neno foreign /a /kigeni!! Hilo la hovyo hovyo sijuiLocal government. Serikali ya hovyo kabisa
Uko sahihi Nina wasiwasi na mtoa maada ndio kilaza mfano hapo kwenye maelekezo ya kupeleka mzigo "booking office" mbona ilikuwa sahihi na hata hapo kwenye "LOCAL" ni sahihi. Mfano huu mtu wa Tanzania akivaa nguo za kusitiri mwili wake vizuri kulingana na maadili yetu yuko LOCALLYNinavyojua
Local = Kienyeji
Umevaa kilocal, una mambo local = umevaa kienyeji, una mambo ya kienyeji n.k.
Kampuni nyingi za magari, eneo lao la kukatia tiketi hua ni hilo hilo wanahifadhi mizigo. Ulipoambiwa peleka mizigo booking office kwa mazingira yetu walikua sahihi.
Aisee wanakera..utasikia naomba tuchart baadae. Aisee ukija hiyo baadae 'kuchart' utakutana na block[emoji23] [emoji23] nataniaKuchati kunaandikwa chart badala ya chat
Aisee kwa hiyo mambo ya kienyeji yote ni ya ovyoovyo na ya kudharaulikaNinavyojua
Local = Kienyeji
Umevaa kilocal, una mambo local = umevaa kienyeji, una mambo ya kienyeji n.k.
Kampuni nyingi za magari, eneo lao la kukatia tiketi hua ni hilo hilo wanahifadhi mizigo. Ulipoambiwa peleka mizigo booking office kwa mazingira yetu walikua sahihi.