"siku ilikuwa ndefu .... " masaa 12 ya mchana kutwa yakawa 24Boss wangu kwenye kikao hapendagi maswali siku hiyo nikajikuta nauliza swali, daah badala ya kupewa jibu ni vitisho, eti nina uwezo wa kukuondoa na ukahamishiwa popote, sikuogopi na kama unanirekodi rekodi.
Siku ilikuwa ndefu
"your days are numbered .... " afu uambiwe kipindi kama hiki ajira imekuwa "rubby" waweza changanyikiwa ukajikuta wasahau hata jina lako aseeEnzi hizo ninakimkataba cha mwaka mmoja ndio nimebakiza mwezi ni renew nikatibuana na deputy manager akaniuliza "when are you going to renew your contract? " nikamjibu bado kama mwezi hivi!... akaniambia "your days are numbered"
Roho iliniuma! Ila sikumjibu week tatu mbele zilikuwa ngumu sana......Kibaya siku sita kabla sija sign mkataba wangu akatimuliwa yeye... karma achana nayo.
We acha tu, nilitamani kesho yake pasiwepo na kaziii ili tu nisikutane nae"siku ilikuwa ndefu .... " masaa 12 ya mchana kutwa yakawa 24
Japo nilikuwa naumwa taaban ... nilikuwa mpole nkafanya maandalizi ya pikipiki (mshikaki) ili nipate support/balance .... but at last nikapata msaada wa gari ya halmashaur (afya) walokuwa wakirejea mjini baada ya kufanya- delivery ya dawa na vifaa tiba kwenye kituo cha afya pia kutoa chanjo ya minyoo kwa wanafunzi toka vijiji vilivyozunguka mradi wetu .... na hiyo ilikuwa ni baada ya mwendo kama wa nusu kilometa tangu tuanze safari yeye km zaidi ya 45Nilipoandika barua kwa bosi nikiomba gari ili nipelekwe hospital, nilijibiwa ...... "Kwani barua yako ya mkataba wa ajira uliambiwa utapewa gari ..... acha ujinga tumia mshahara wako kodisha pikipiki. .."
Pole, ni changamoto za maisha tuu nduguJapo nilikuwa naumwa taaban ... nilikuwa mpole nkafanya maandalizi ya pikipiki (mshikaki) ili nipate support/balance .... but at last nikapata msaada wa gari ya halmashaur (afya) walokuwa wakirejea mjini baada ya kufanya- delivery ya dawa na vifaa tiba kwenye kituo cha afya pia kutoa chanjo ya minyoo kwa wanafunzi toka vijiji vilivyozunguka mradi wetu .... na hiyo ilikuwa ni baada ya mwendo kama wa nusu kilometa tangu tuanze safari yeye km zaidi ya 45
Siku moja boss aliniambia " wewe ni hope less " iliniuma sana nikajirekebisha baada ya miezi kadhaa akaniita ofisini kunipongeza kwa kubadiri tabia.
ndo ukutane na bosi mchina na nasikia wana kiburi na jeuri balaa c ndo utarusha na ngumi kabisaSipendi mtu aninyanyase sababu ya nafasi niliyopo, vivyo hivyo sipendi kumnyanyasa mtu mwingine.
Kama ningekuwa na Boss basi angetakiwa awe na utu, lasivyo ni lazima angenifukuza.