busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,340
Salaam wana JF
Katika maeneo ya kazi hasa hasa taasisi binafsi huwa zatolewa kauli sijui niziite CHAFU ambazo si tu kuwa hukera, huumiza hasa KISAIKOLOJIA bali pia kukatisha tamaa na kuhafifisha malengo pia kushusha ufanisi .....
Tushirikishane na itakuwa vyema ukatujuza pia namna ulivyokabiliana na hiyo changamoto ili maisha yako yaendelee ..... UZOEFU huo waweza kuwa msaada kwa mtu fulani ....
Katika maeneo ya kazi hasa hasa taasisi binafsi huwa zatolewa kauli sijui niziite CHAFU ambazo si tu kuwa hukera, huumiza hasa KISAIKOLOJIA bali pia kukatisha tamaa na kuhafifisha malengo pia kushusha ufanisi .....
Tushirikishane na itakuwa vyema ukatujuza pia namna ulivyokabiliana na hiyo changamoto ili maisha yako yaendelee ..... UZOEFU huo waweza kuwa msaada kwa mtu fulani ....