Nakumbuka kuna siku jioni natuma report ya siku kwa Boss,ghafla akanijibu nafaa kufanya kazi bar alinikatisha tamaa sana,baada kama ya mwezi mmoja hivi akanipiga chini,baada ya siku tatu hivi nikapata boge la job,ofisi safi na dereva yupo standby kuniendesha kunipeleka popote pale ninapotaka,siku moja kama wiki moja hivi nikakutana na yule Boss wa zamani kwenye mgahawa flani hivi anashushwa na dereva wake kupata lunch na mimi nashushwa na dereva wangu kupata msosi aliona aibu sana aisee,duniani humu kuna mambo sana.