kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,111
Yasemekana analiwa kiboga.mkuu tuwekee picha yake tumjue wengine tupo nkinga tabora ndanindan huku hatumjui ana nafas gan huko mjini had awe tishio.
Sent using Jamii Forums mobile app
We nae. Huyo Juma Lokole ndio umemuandika gazeti lote hili. The guy is a non entity, a nobody who lives off his closeness to Diamond's family. Embu tuondolee upuuzi hapaBinadamu aliyeumbwa na Mungu ana haki ya kuheshimiwa. Ikiwemo kuheshimiwa rangi ya ngozi yake. Hii ni haki ya kikatiba katika nchi yetu ya Tanzania.
Mtanzania Juma Lokole akihojiwa mitandaoni amekuwa kuvunja haki hii. Amekuwa akikejeli rangi ya mtu mweusi anapohojiwa mitandaoni Rejea mahojiano kwenye tv ya mtandaoni "Maximum tv online". Anadhihaki rangi yetu sisi Waafrika weusi kwa maneno yafuatayo; weusi nuksi, rangi nyeusi ni rangi chafu, rangi nyeusi rangi ya matatizo. Anapoulizwa anasemaji kuhusu watu wanautukuza Uafrika yaani weusi wa uafrika anasema " ni kujifariji".
Maneno yake ya dharau na kuudhi kuhusu rangi ya mtu mweusi asilia yanaudhi lakini pia yanashawishi unyonge kwa vijana wanaomsikiliza ambao ni weusi. Mbaya zaidi maneno yake yanawafikia watu wengi. Hivi Wizara yetu pendwa ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo watu kama Juma Lokole mnawachukuliaje wanapoeneza kutojiamini na kutojikubali ndani ya jamii yetu.
Naamini kuwa KUJIAMINI kwa binadamu ndio chanzo cha maendeleo yake binafsi na jamii yake.
Juma Lokole anasambaza elimu ya mtu mweusi asilia ajiona myonge. Hana haki hii. Msanii Mpoki naye yuko kundi hili.
Mwafrika mweusi ametoka mbali katika kupigania haki yake ya kutambuliwa kama binadamu kamili ambayo ni kweli tupu. Tusiruhusu watu kama Juma Lokole, Mpoki kuturudisha nyuma.
OMBI: Wizara husika mchukue hatua.
Sent using Jamii Forums mobile app
I take spliffs or weed...man should get itYupo Sahihi sana.
MTU mweusi ndio Race yenye watu Wavivu, Wakatili, Wenye majungu na wasiopendana.
Pia tuna Imani za kijinga sana ambazo hazina maana.
Hatuna Ubunifu wala teknolojia ya kuweza kuwasaidia binadamu wengine duniani.
Ndio maana tulitawaliwa kikoloni na Waarabu na Wazungu kwa ukoloni wa zamani.
Hata leo watu weusi wengi wanatawaliwa na haohao na wameongezeka Wahindi pia kutawala mtu mweusi kikoloni kasoro tu ni mijeledi hatuioni.
Kama Mhindi anaajiri watanzania masikini wanafanya kazi ngumu katika mazingira magumu sana mfano kuchanganya rangi za nguo au kuchochea moto kiwandani usiku na mchana kisha analipwa elfu 80 kwa mwezi ndani ardhi yao, maji yao, serikali yao, huo sio ubepari na ukoloni?
Tunafanya kazi nyingi za kutumia nguvu kuliko akili na malipo ni kidogo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anaemuongelea ni shoga (gay) mzoefu hapa mjiniKatika saikolojia, kuna dhana ya ethnic self hatred.
This can be symptomatic of psychopathological / psychotic behavior.
It is more prevalent among low income and low education or nouveau riche members of certain ethnic groups.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahh...Ila wabongo tuna akili na muda wa mchezo kiukweli na ndio maana watu wanaopata umaarufu wanafanana na akili za wengi wetu. Lokole seriously!!....
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kuna uhusiano mkubwa kati ya ethnic self hatred yake na yeye kuwa gay.
Hahaaaa Nakuelewa brother na haswa wanawake ndio wameshikwa sana na hawa insta celebs. Ila mtu kama huyo kuwa threat bhasi kama jamii tumeshafeliAhahahh...
Siwez kumfuatilia lakin kuna umuhim pia kujua what is going on mana hawa watu brother licha ya kuwa Ni stupid celebs, wana athari kubwa sana kwa watu wanao wapenda.Wana nafasi kubwa ya ku polute minds za vijana.so it is important hawa haya mambo wanayotafanyabkuwa monited na actions kuchukuliwa dhidi yao pind wanapoonekana wana agenda destructive.
Anapendwa na ukiona mzimaMke mdogo wa pale madale huyo
mkuu tuwekee picha yake tumjue wengine tupo nkinga tabora ndanindan huku hatumjui ana nafas gan huko mjini had awe tishio.
Sent using Jamii Forums mobile app