Maneno ya kuibembeleza na kuikingia kifua Israel ni aibu kwa ulimwengu. Ndiyo yanayowapa jeuri mayahudi kuwaoneo wapalestina

Maneno ya kuibembeleza na kuikingia kifua Israel ni aibu kwa ulimwengu. Ndiyo yanayowapa jeuri mayahudi kuwaoneo wapalestina

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Tangu vita vianze hakuna hata nchi moja ambayo imetoa maneno ya kuikemea Israel kikamilifu au kutaja matendo yao kuwa ni haramu.

Badala yake utasikia maneno kama ilichofanya Israel huko Gaza yanaweza kuwa ni uhalifu wa kivita.Yanasemawa hayo wakati yaliyofanywa madogo kuliko hayo maeneo mengine duniani kama Sudan huwa yanapewa hadhi kamili ya uhalifu wa kivita.Sudan huwa wanarushiana mikuki tu na kuchomeana nyumba zao za nyasi na dunia nzima inaona.Huku matumizi ya mabomu mazito kuua watu vipande vipande haionekani ni tatizo kubwa.

Rais Biden karibuni ataitembelea Israel na anasema akifika huko ataishinikiza Israel isitishe vita.
Ilichotakiwa ni kuacha kuitembelea kabla ya kusitisha vita au asema atailazimisha kusitisha vita sio kwenda na maneno ya kinyonge nyonge kama hayo huku kila siku ipitayo kasi ya kuuaa na kuhamisha wagonjwa na watu waliochoka kuhama kwenda maeneo ambayo hayana hata nyumba yakiendelezwa kufanya na Israel.
Tumezoea kuisikia Marekani ikitoa amri kali na vikwazo vya kiuchumi kwa wahalifu ambao huwa uhalifu wao kwanza haujathibitishwa na huwa ni uhalifu mdogo kuliko huo wa Israel.

Ukisikiliza mataifa ya kiarabu na kiislamu ambayo yalitarajiwa kuja juu zaidi hali ni hiyo hiyo.Mara Israel ndiyo iliyohusika kufanya uovu fulani huku uovu huo ukijulikana wazi wazi nani aliyeutenda.Wengina huwa wanatoa maazimio ya kuitambua Palestina na uungaji mkono wake unaishia kuwa ni wa maneno peke yake.Wanaosema wataingia Israel kuwatetea wapalestina na kadhalika huwa ni kwa maneno tu.

Kitendo kibaya kilichofanyika majuzi masjidul aqswa cha kundi la mayahudi kuingia na kufanya ibada zao za kufru zingewakasirisha sana mataifa ya kiislamu lakini wote wametoa maneno mepesi na kurudi kwenye ikulu zao kulala.

Uzembe huo wa dunia nzima ndio uliomfanya waziri wa ulinzi wa Israel,Daniel Hagar hapo jana kusema kwa jeuri na kujiamini kuwa iwapo Israel itashambuliwa basi mataifa washirika zake wataingia kati kuwatetea.
 
Israhell hakuna wayahudi bali kuna wazayuni wahamiaji walojikusanya kutokea pembe mbali mbali wakaenda kumwagwa pale mashariki yakati

Nalengo kubwa la kuundwa taifa la israhell ni ili ulimwengu wa kiarabu na kiislamu pale mido ist usije ukakaa kwa amani nandio kinachoendelea leo hii pale
 
Israhell hakuna wayahudi bali kuna wazayuni wahamiaji walojikusanya kutokea pembe mbali mbali wakaenda kumwagwa pale mashariki yakati

Nalengo kubwa la kuundwa taifa la israhell ni ili ulimwengu wa kiarabu na kiislamu pale mido ist usije ukakaa kwa amani nandio kinachoendelea leo hii pale
Doctrine za madrasa hizi.
 
Israhell hakuna wayahudi bali kuna wazayuni wahamiaji walojikusanya kutokea pembe mbali mbali wakaenda kumwagwa pale mashariki yakati

Nalengo kubwa la kuundwa taifa la israhell ni ili ulimwengu wa kiarabu na kiislamu pale mido ist usije ukakaa kwa amani nandio kinachoendelea leo hii pale
Zion ni Sayuni na Sayuni kwa mujibu wa Maandiko matakatifu ni mlima ambao lilikuwa hekalu la Mfalme Sulemani

Ambapo Leo umejengwa msikiti pale juu na haliusihani na Uislam hata kidogo Uislam ni Medina na Mecca ambao maeneo yanawapa haki kwenda Kuhiji kila mwaka

Sasa kuna shida gani hao wasayuni kurudi kwao Kuhiji? na watapigwa tu mpaka akili ikae sawa wajue Yerusalem si ya Magaidi
 
.Sudan huwa wanarushiana mikuki tu na kuchomeana nyumba zao za nyasi na dunia nzima inaona.Huku matumizi ya mabomu mazito kuua watu vipande vipande haionekani ni tatizo kubwa.
Kwasabau wanaofanya uhalifu Sudan ni Janjaweed Arab Militias wewe unaona sio uhalifu kiviile. Lakini hao Waarabu wa Palestina ambao ndio walioichagua Hamas na ikavamia Israel ndio unataka wasaidiwe.

Webabu ni mbaguzi wa rangi hovyo kabisa.
 
Tangu vita vianze hakuna hata nchi moja ambayo imetoa maneno ya kuikemea Israel kikamilifu au kutaja matendo yao kuwa ni haramu.
Hayo maneno yametamkwa Sana na nchi za Iran, Jordan, Misri n.k labda ungeandika hakuna maneno ya kukemea Israel yaliyotolewa na nchi za magharibi.
Rais Biden karibuni ataitembelea Israel na anasema akifika huko ataishinikiza Israel isitishe vita.
Ilichotakiwa ni kuacha kuitembelea kabla ya kusitisha vita au asema atailazimisha kusitisha vita sio kwenda na maneno ya kinyonge nyonge kama hayo huku kila siku ipitayo kasi ya kuuaa na kuhamisha wagonjwa na watu waliochoka kuhama kwenda maeneo ambayo hayana hata nyumba yakiendelezwa kufanya na Israel.
Tumezoea kuisikia Marekani ikitoa amri kali na vikwazo vya kiuchumi kwa wahalifu ambao huwa uhalifu wao kwanza haujathibitishwa na huwa ni uhalifu mdogo kuliko huo wa Israel.
Siasa za Marekani zimechafuka kwa Sasa, vyama vyote vimegeuka Pro-Israel Ili vipate fedha za kampeni na uungwaji mkono kutoka mashirika ya kiyahudi kama AIPAC, hivyo hawawezi kukemea jinai yoyote ya Israel
 
Israhell hakuna wayahudi bali kuna wazayuni wahamiaji walojikusanya kutokea pembe mbali mbali wakaenda kumwagwa pale mashariki yakati

Nalengo kubwa la kuundwa taifa la israhell ni ili ulimwengu wa kiarabu na kiislamu pale mido ist usije ukakaa kwa amani nandio kinachoendelea leo hii pale
Vip hapo Sudan
 
  • Thanks
Reactions: 511
Zion ni Sayuni na Sayuni kwa mujibu wa Maandiko matakatifu ni mlima ambao lilikuwa hekalu la Mfalme Sulemani

Ambapo Leo umejengwa msikiti pale juu na haliusihani na Uislam hata kidogo Uislam ni Medina na Mecca ambao maeneo yanawapa haki kwenda Kuhiji kila mwaka

Sasa kuna shida gani hao wasayuni kurudi kwao Kuhiji? na watapigwa tu mpaka akili ikae sawa wajue Yerusalem si ya Magaidi
Mkiambiwa hamna akili ndio maana mnaona ndoa za watu wajinsia moja bora kuliko uke wenza

Ukiambiwa huna akili unaweza kusema umetukanwa kumbe ndio tafsiri inayopatikanwa ndani ya koment yako

Kwanza nenda kajifunze halafu urudi tena
 
Hayo maneno yametamkwa Sana na nchi za Iran, Jordan, Misri n.k labda ungeandika hakuna maneno ya kukemea Israel yaliyotolewa na nchi za magharibi.

Siasa za Marekani zimechafuka kwa Sasa, vyama vyote vimegeuka Pro-Israel Ili vipate fedha za kampeni na uungwaji mkono kutoka mashirika ya kiyahudi kama AIPAC, hivyo hawawezi kukemea jinai yoyote ya Israel
Ndio kufilisika kisiasa huko.Kwa lengo la faida za kifedha na kisiasa wanakosa ubinadamu.
Sasa wanapokuja huku kwetu kukataza vyama vyenye mlengo wa kidini huwa wanafanya nini.
Wanasiasa wanapowekwa ndani wao wanakuwa wakali sana na kutoa vitisho kumbe kule kwao wanaunga mkono unyama kuliko huo kwa kiwango cha mauwaji ya watu.
 
Tangu vita vianze hakuna hata nchi moja ambayo imetoa maneno ya kuikemea Israel kikamilifu au kutaja matendo yao kuwa ni haramu.

Badala yake utasikia maneno kama ilichofanya Israel huko Gaza yanaweza kuwa ni uhalifu wa kivita.Yanasemawa hayo wakati yaliyofanywa madogo kuliko hayo maeneo mengine duniani kama Sudan huwa yanapewa hadhi kamili ya uhalifu wa kivita.Sudan huwa wanarushiana mikuki tu na kuchomeana nyumba zao za nyasi na dunia nzima inaona.Huku matumizi ya mabomu mazito kuua watu vipande vipande haionekani ni tatizo kubwa.

Rais Biden karibuni ataitembelea Israel na anasema akifika huko ataishinikiza Israel isitishe vita.
Ilichotakiwa ni kuacha kuitembelea kabla ya kusitisha vita au asema atailazimisha kusitisha vita sio kwenda na maneno ya kinyonge nyonge kama hayo huku kila siku ipitayo kasi ya kuuaa na kuhamisha wagonjwa na watu waliochoka kuhama kwenda maeneo ambayo hayana hata nyumba yakiendelezwa kufanya na Israel.
Tumezoea kuisikia Marekani ikitoa amri kali na vikwazo vya kiuchumi kwa wahalifu ambao huwa uhalifu wao kwanza haujathibitishwa na huwa ni uhalifu mdogo kuliko huo wa Israel.

Ukisikiliza mataifa ya kiarabu na kiislamu ambayo yalitarajiwa kuja juu zaidi hali ni hiyo hiyo.Mara Israel ndiyo iliyohusika kufanya uovu fulani huku uovu huo ukijulikana wazi wazi nani aliyeutenda.Wengina huwa wanatoa maazimio ya kuitambua Palestina na uungaji mkono wake unaishia kuwa ni wa maneno peke yake.Wanaosema wataingia Israel kuwatetea wapalestina na kadhalika huwa ni kwa maneno tu.

Kitendo kibaya kilichofanyika majuzi masjidul aqswa cha kundi la mayahudi kuingia na kufanya ibada zao za kufru zingewakasirisha sana mataifa ya kiislamu lakini wote wametoa maneno mepesi na kurudi kwenye ikulu zao kulala.

Uzembe huo wa dunia nzima ndio uliomfanya waziri wa ulinzi wa Israel,Daniel Hagar hapo jana kusema kwa jeuri na kujiamini kuwa iwapo Israel itashambuliwa basi mataifa washirika zake wataingia kati kuwatetea.
TUMEANZA KULIA LIA TENA? SI TULISEMA..... MBONA HATUNA MSIMAMO?
 
It's very simple: Let the Palestinians renounce terrorism and dismantle all their terrorist infrastructure and seek a negotiated settlement to their problem but anything to the contrary will mean the continued demise of most of the Palestinians judging by the fact that they can't prevail in a war with Israel.
 
Israhell hakuna wayahudi bali kuna wazayuni wahamiaji walojikusanya kutokea pembe mbali mbali wakaenda kumwagwa pale mashariki yakati

Nalengo kubwa la kuundwa taifa la israhell ni ili ulimwengu wa kiarabu na kiislamu pale mido ist usije ukakaa kwa amani nandio kinachoendelea leo hii pale

HAYA ALIKUELEZA SHEIKH KINTINKU. NILIKUWEPO SIKU ILE. ALIELEZA SANA ... UMEYEBEBA BILA KUPIMA... 🤣🤣🤣🤣🤣
 
It's very simple: Let the Palestinians renounce terrorism and dismantle all their terrorist infrastructure and seek a negotiated settlement to their problem but anything to the contrary will mean the continued demise of most of the Palestinians judging by the fact that they can't prevail in war with Israel.
Nonsense.
Palestinians can not denounce what you call terrorism until Israel stops its terrorism first.
 
Nonsense.
Palestinians can not denounce what you call terrorism until Israel stops its terrorism first.
Then tusisikie kilio kila mtu ashinde mechi zake. Israel hawajawahi lalamika wao ni kutembeza kichapo kufundisha adabu. Na hao magaidi unaosema hawawezi kuacha wapigane sasa.
Msituchoshe watu hawataki kuacha mapigano nyinyi mnasumbua humu eti Israel ndio iache
 
Back
Top Bottom