Maneno ya kuibembeleza na kuikingia kifua Israel ni aibu kwa ulimwengu. Ndiyo yanayowapa jeuri mayahudi kuwaoneo wapalestina

 
America na ukubwa wake wote huo wanatawaliwa na natanyahu. What a fake democracy inayotegemea pesa ya warajiri wa kiyahudi ambao ndio wanacontrol utawala wa nchi.
 
Mleta mada hivi alipigwa ban au ameamua atulie zake jukwaa la mapenz.?
 
Propaganda nyepesi sana hizi. Wakati hao watu wanarudishwa hapo, hakuna taifa hata moja la Kiarabu lililokua linajitawala; wote walikua chini ya Mwingereza, sasa how eti "Wayahudi" warudishwe ili kuziminya nchi za Kiarabu? I think hi umeitoa kwenye vijiwe vya kahawa, haina ukweli wa kihistoria
 
"The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”

 

Attachments

  • Screenshot_20241020-230931.jpg
    409.4 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…