Kaandikwa mtandao X
"Mdogo wangu Paul, karibu sana kwenye uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila la kheri! "
Je, ni dharau au woga?
Au Nape ndie kampa mchongo huo Makonda? Wa uteuzi?