Maneno ya Nape Nnauye baada ya Makonda kuteuliwa. Je, ni dharau?

Maneno ya Nape Nnauye baada ya Makonda kuteuliwa. Je, ni dharau?

View attachment 2789597

Kaandikwa mtandao X

" mdogo wangu Paul, karibu sana kwenye uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila la kheri! "

Je, nidharau au woga?


Au Nape ndie kampa mchongo huo makonda? Wa uteuzi?
Kwa taarifa yako tu ni kwamba kabla ya huu Uteuzi Wawili hawa ambao walikuwa na Bifu Kali walishaitwa Chalinze ( kwa anayeongoza nchi Kisiri ) na Kupatanishwa na sasa wako pamoja na Watashirikiana vyema na hutoamini. Ichukue na Iamini hii kwa 100% zote sawa Mkuu?
 
View attachment 2789597

Kaandikwa mtandao X

" mdogo wangu Paul, karibu sana kwenye uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila la kheri! "

Je, nidharau au woga?


Au Nape ndie kampa mchongo huo makonda? Wa uteuzi?
Chawa ndivyo walivyo. Ameona maza kamrejesha mshikaji wake wa siri ndani, ndani kabisa
 
Kwa taarifa yako tu ni kwamba kabla ya huu Uteuzi Wawili hawa ambao walikuwa na Bifu Kali walishaitwa Chalinze ( kwa anayeongoza nchi Kisiri ) na Kupatanishwa na sasa wako pamoja na Watashirikiana vyema na hutoamini. Ichukue na Iamini hii kwa 100% zote sawa Mkuu?
Naye hana lolote bali watamgeuka. Isitoshe, Mungu atamlipa kwa anayofanya ukiachia mbali uhawaraaaa wake na maza.
 
View attachment 2789597

Kaandikwa mtandao X

" mdogo wangu Paul, karibu sana kwenye uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila la kheri! "

Je, nidharau au woga?


Au Nape ndie kampa mchongo huo makonda? Wa uteuzi?
Utoto mwingi, Mwili mkubwa Ila utoto mwingi mwambie apunguze utoto
 
View attachment 2789597

Kaandikwa mtandao X

" mdogo wangu Paul, karibu sana kwenye uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila la kheri! "

Je, nidharau au woga?


Au Nape ndie kampa mchongo huo makonda? Wa uteuzi?
Bumunda halinaga akili kabisa hilo.Bichwa kubwa ubongo umejaa makamasi.
 
View attachment 2789597

Kaandikwa mtandao X

" mdogo wangu Paul, karibu sana kwenye uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila la kheri! "

Je, nidharau au woga?


Au Nape ndie kampa mchongo huo makonda? Wa uteuzi?
Zote hizo ni takataka za siasa
 
View attachment 2789597

Kaandikwa mtandao X

" mdogo wangu Paul, karibu sana kwenye uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila la kheri! "

Je, nidharau au woga?


Au Nape ndie kampa mchongo huo makonda? Wa uteuzi?
Zote hizo ni takataka za siasa
 
Kinachotuchelewesha kuendelea ni kuangalia kigezo cha mtu kupiga domo sana kama kigezo cha kuwa kiongozi badala ya kuangalia na uwezo wake darasani ulikuwaje? Uzalendo wake kwa Taifa ukoje?
Je, anawapenda Watanzania wenzake? N.k
Kwani Hangaya naye darasani alikuwaje?
 
Labda safari hii makonda atakuwa na nidhamu kwa viongozi wenzake kwani enzi zile kijana huyu alivimba kichwa kiasi cha kujiona ni namba mbili wa nchi hii na kufanya undava atakavyo
Kunguru ni kunguru tu, huwa hafugiki.
Fisi ni fisi tu, hula mizoga.
Kenge ni kenge tu!
 
Kunguru ni kunguru tu, huwa hafugiki.
Fisi ni fisi tu, hula mizoga.
Kenge ni kenge tu!
zama zile alivimba sana na kuona ana baba na anadeka sana japo awali ana waliomkuza ndio hao waliomrudisha. Swali ni je atavimba tena kama wakati ule akijua waliomkuza na kumrudisha chatini wapo nyuma yake? Safari hii huenda akapungua mvimbo akitarajia kugombea ubunge kuelekea uwaziri nyeti na hatimaye njia iwe nyeupe kukifikia kiti cha enzi kuu. Rais mbabe ajaye tena!
 
View attachment 2789597

Kaandikwa mtandao X

" mdogo wangu Paul, karibu sana kwenye uongozi wa juu kabisa wa Chama chetu. Nina hakika umetumia vizuri muda wa likizo and now you are ready for the job! HONGERA kwa kuaminiwa na nakutakia kila la kheri! "

Je, nidharau au woga?


Au Nape ndie kampa mchongo huo makonda? Wa uteuzi?
Wote watoto wa Mama.....wwtqjuana wenyewe
 
Back
Top Bottom