Inaonekana labda alienda kwake kuomba msaada!?Amemu'attack Makonda kisaikolojia
Labda Nape ndie kamrudisha😁 ndio maana kaongea kinafikiMakonda hajajibu ila kejeri ya hali ya juu sanaaa
Mtoto anaendeleaje 😄Kamdharau🤣🤣
Wote si majembe ya mama🤣🤣
Watajuana wenyewe
Hajambo,Yuko home kapumzika🙏Mtoto anaendeleaje 😄
Sasa wewe ndio boya haswa... unaangalia darasani karne hii??Kinachotuchelewesha kuendelea ni kuangalia kigezo cha mtu kupiga domo sana kama kigezo cha kuwa kiongozi badala ya kuangalia na uwezo wake darasani ulikuwaje? Uzalendo wake kwa Taifa ukoje?
Je, anawapenda Watanzania wenzake? N.k
YOTE KHERIShamba la bwana kheri na mbuzi ni wa bwana kheri.