Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wasalaam nyote,
Kwenye kikao/Mkutano wa Rais Ruto na Rais Hassan, na wadau wengine Rais Ruto anasikika akisema fursa kubwa ijayo ya utajiri ipo kwenye kilimo, ameweka bayana kuwa yeye ni mdau wa kilimo, kwa kiasi amekosoa kazi ya immigration wetu kule mpakani, japo amesifu mabadiriko na jitihada za Rais Hassan.
Maajabu huyu Ruto anahimiza tuzalishe kwa wingi Mali ghafi za kilimo ili tuuze Kenya, hajahimiza value addition on agricultural produces, hajagusa kuimarisha viwanda vya kuchakata bidhaa za kilimo.
Hajasema tuwapelekee unga, anataka mpeleke mahindi, he couldn't challenge Tanzania to package products and increase on her exports.
Ruto was too simplistic on his statements specifically on what he called advice kwa Tanzania.
I hope president Hassan was not overwhelmed by Ruto's smeared words.
Kenyans have long known that Marais wa Tanzania wakisifiwa hufanya kinachowapendeza watoa sifa.
Kenyans have always been arrogant and shall always be, they have never had any good advice for Tanzania that isn't for their benefits. Be warned and open your eyes and brains.
Brain was given for free but how to use it? It's your task to unfold that potential to the optimal level
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz
Kwenye kikao/Mkutano wa Rais Ruto na Rais Hassan, na wadau wengine Rais Ruto anasikika akisema fursa kubwa ijayo ya utajiri ipo kwenye kilimo, ameweka bayana kuwa yeye ni mdau wa kilimo, kwa kiasi amekosoa kazi ya immigration wetu kule mpakani, japo amesifu mabadiriko na jitihada za Rais Hassan.
Maajabu huyu Ruto anahimiza tuzalishe kwa wingi Mali ghafi za kilimo ili tuuze Kenya, hajahimiza value addition on agricultural produces, hajagusa kuimarisha viwanda vya kuchakata bidhaa za kilimo.
Hajasema tuwapelekee unga, anataka mpeleke mahindi, he couldn't challenge Tanzania to package products and increase on her exports.
Ruto was too simplistic on his statements specifically on what he called advice kwa Tanzania.
I hope president Hassan was not overwhelmed by Ruto's smeared words.
Kenyans have long known that Marais wa Tanzania wakisifiwa hufanya kinachowapendeza watoa sifa.
Kenyans have always been arrogant and shall always be, they have never had any good advice for Tanzania that isn't for their benefits. Be warned and open your eyes and brains.
Brain was given for free but how to use it? It's your task to unfold that potential to the optimal level
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz