Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Kwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.

Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu, majina yetu, imani zetu na tamaduni zetu na kukumbatia vya wageni na kuita vya mababu zetu ushenzi.

Waafrika Wabantu hatujitambui na nafasi yetu katika hii Dunia

=====

Tunisia’s president, Kais Saied, has told a meeting of security officials that migrants are part of a wider campaign to change the demographic makeup of the country and make it “purely African”.
Source of your information please.
 
Tatizo lako huelewi Uarabu ni nini na Uafrika ni nini .

Pata darsa ili uelewe ukiwa na uwezo wa kuelewa...
Mwafrika = ni mtu anaetoka kontinenti la Afrika, sio rangi yake, sio kabila lake.

Mwarabu = ni mtu ambae lugha yake ni Kiarabu na anafata mila za Kiarabu (ustaarabu). Siyo rangi yake wala siyo dini yake, wala siyo kabila lake.

Wewe siyo mstaarabu?
Kwa hiyo wewe ni mwarabu?
 
Dada
Tatizo lako huelewi Uarabu ni nini na Uafrika ni nini .

Pata darsa ili uelewe ukiwa na uwezo wa kuelewa...
Mwafrika = ni mtu anaetoka kontinenti la Afrika, sio rangi yake, sio kabila lake.

Mwarabu = ni mtu ambae lugha yake ni Kiarabu na anafata mila za Kiarabu (ustaarabu). Siyo rangi yake wala siyo dini yake, wala siyo kabila lake.

Wewe siyo mstaarabu?
Dada uarabu ni rangi ya ngozi .Twende ramalah au north darfur uone kama wewe utaitwa mwarabu hata kama una jina la kiarabu
 
Tatizo lako huelewi Uarabu ni nini na Uafrika ni nini .

Pata darsa ili uelewe ukiwa na uwezo wa kuelewa...
Mwafrika = ni mtu anaetoka kontinenti la Afrika, sio rangi yake, sio kabila lake.

Mwarabu = ni mtu ambae lugha yake ni Kiarabu na anafata mila za Kiarabu (ustaarabu). Siyo rangi yake wala siyo dini yake, wala siyo kabila lake.

Wewe siyo mstaarabu?
Eti unasema Mwarabu sio rangi?....
Kwa hiyo wewe ni Mwarabu...hahahaha...
 
Tatizo lako huelewi Uarabu ni nini na Uafrika ni nini .

Pata darsa ili uelewe ukiwa na uwezo wa kuelewa...
Mwafrika = ni mtu anaetoka kontinenti la Afrika, sio rangi yake, sio kabila lake.

Mwarabu = ni mtu ambae lugha yake ni Kiarabu na anafata mila za Kiarabu (ustaarabu). Siyo rangi yake wala siyo dini yake, wala siyo kabila lake.

Wewe siyo mstaarabu?
Kawaite watunisia kama raisi Kaisi waafrika afu uone jibu watakalokupa mpendwa.
 
Wale si waafrika, mipaka ya mabara imewaingiza ili ramani ya afrika iwe imetengenishwa na maji na mabara mengine. Ndio maana huwa hakuna hamasa sana timu zao zinapofika hatua za juu kwenye michuano ya kidunia tofauti na nchi za weusi. Tunisia ni nchi ya ulaya yenye unasaba na uarabu iliyopo afrika. Morocco, algeria, misri na tunisia zina nyodn sana kwa waafrika wenzao na ndiyo maana wapo kwenye umoja wa nchi za kiarabu duniani
Tunisia ya Ulaya watoke wapi?, Bara la Africa ni watoto wa Ham, alie mtoto wa Nuh. HAM alizaa mtoto wa kwanza, CUSH( Weusi wote Kusini ya Jangwa la Sahara, weusi wote wenye nywele laini wa India, Sirilanka, Papua, Vunuatu na Visiwa vya Pasifiki).HAM Mtoto wa Pili ni (Mizraim au MISRI alikaa hapo Misri au Egypt na Palestina walikaa Sinai). HAM Mtoto wa tatu ni PUT( Ambao ni Libya, Tunisia, Morocco, Algeria, Mauritania na Sahara Magharibi). HAM Mtoto wake wa Nne ni CANAAN( Kizazi chake kiliangamizwa na Israel, hakipo) kilikaa Sinai na Eneo la Israel ya leo.
Kwahiyo hakuna wazungu hapo wote ni Waafrika.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Tunisia ya Ulaya watoke wapi?, Bara la Africa ni watoto wa Ham, alie mtoto wa Nuh. HAM alizaa mtoto wa kwanza, CUSH( Weusi wote Kusini ya Jangwa la Sahara, weusi wote wenye nywele laini wa India, Sirilanka, Papua, Vunuatu na Visiwa vya Pasifiki).HAM Mtoto wa Pili ni (Mizraim au MISRI alikaa hapo Misri au Egypt na Palestina walikaa Sinai). HAM Mtoto wa tatu ni PUT( Ambao ni Libya, Tunisia, Morocco, Algeria, Mauritania na Sahara Magharibi). HAM Mtoto wake wa Nne ni CANAAN( Kizazi chake kiliangamizwa na Israel, hakipo) kilikaa Sinai na Eneo la Israel ya leo.
Kwahiyo hakuna wazungu hapo wote ni Waafrika.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hii story umetoa wapi?????Kwenye vitabu vya wayahudi au waarabu???
 
Dada

Dada uarabu ni rangi ya ngozi .Twende ramalah au north darfur uone kama wewe utaitwa mwarabu hata kama una jina la kiarabu
Uarabu si jina na sio rangi.

1677676379205.png

Darfur hao, wana tofauti ipi na wewe?

Na hawa Wapalestina, wana tofauti ipi na wewe?... Screenshot_20230301_161624_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom