Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Weusi ndio wanakimbilia huko kupitia mipaka ya nchi za kiarabuMbona wao wanakimbilia spain na france kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weusi ndio wanakimbilia huko kupitia mipaka ya nchi za kiarabuMbona wao wanakimbilia spain na france kila siku
Source of your information please.Kwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.
Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu, majina yetu, imani zetu na tamaduni zetu na kukumbatia vya wageni na kuita vya mababu zetu ushenzi.
Waafrika Wabantu hatujitambui na nafasi yetu katika hii Dunia
=====
Tunisia’s president, Kais Saied, has told a meeting of security officials that migrants are part of a wider campaign to change the demographic makeup of the country and make it “purely African”.
Kwa hiyo wewe ni mwarabu?Tatizo lako huelewi Uarabu ni nini na Uafrika ni nini .
Pata darsa ili uelewe ukiwa na uwezo wa kuelewa...
Mwafrika = ni mtu anaetoka kontinenti la Afrika, sio rangi yake, sio kabila lake.
Mwarabu = ni mtu ambae lugha yake ni Kiarabu na anafata mila za Kiarabu (ustaarabu). Siyo rangi yake wala siyo dini yake, wala siyo kabila lake.
Wewe siyo mstaarabu?
Mimi ni Mstaarabu.Kwa hiyo wewe ni mwarabu?
Dada uarabu ni rangi ya ngozi .Twende ramalah au north darfur uone kama wewe utaitwa mwarabu hata kama una jina la kiarabuTatizo lako huelewi Uarabu ni nini na Uafrika ni nini .
Pata darsa ili uelewe ukiwa na uwezo wa kuelewa...
Mwafrika = ni mtu anaetoka kontinenti la Afrika, sio rangi yake, sio kabila lake.
Mwarabu = ni mtu ambae lugha yake ni Kiarabu na anafata mila za Kiarabu (ustaarabu). Siyo rangi yake wala siyo dini yake, wala siyo kabila lake.
Wewe siyo mstaarabu?
Unajua maana ya neno usta-arabu dada?????Mimi ni Mstaarabu.
Wewe sio mstaarabu?
Dada kua na jina la kiarabu anajiona mwarabu.Kwa hiyo wewe ni mwarabu?
Vipi kuhusu mstaa-bantu???Mimi ni Mstaarabu.
Wewe sio mstaarabu?
Ipi sasa ya kusini au kaskazini mkuu??Mbona Sudan hujaitaja
Eti unasema Mwarabu sio rangi?....Tatizo lako huelewi Uarabu ni nini na Uafrika ni nini .
Pata darsa ili uelewe ukiwa na uwezo wa kuelewa...
Mwafrika = ni mtu anaetoka kontinenti la Afrika, sio rangi yake, sio kabila lake.
Mwarabu = ni mtu ambae lugha yake ni Kiarabu na anafata mila za Kiarabu (ustaarabu). Siyo rangi yake wala siyo dini yake, wala siyo kabila lake.
Wewe siyo mstaarabu?
Kawaite watunisia kama raisi Kaisi waafrika afu uone jibu watakalokupa mpendwa.Tatizo lako huelewi Uarabu ni nini na Uafrika ni nini .
Pata darsa ili uelewe ukiwa na uwezo wa kuelewa...
Mwafrika = ni mtu anaetoka kontinenti la Afrika, sio rangi yake, sio kabila lake.
Mwarabu = ni mtu ambae lugha yake ni Kiarabu na anafata mila za Kiarabu (ustaarabu). Siyo rangi yake wala siyo dini yake, wala siyo kabila lake.
Wewe siyo mstaarabu?
Tunisia ya Ulaya watoke wapi?, Bara la Africa ni watoto wa Ham, alie mtoto wa Nuh. HAM alizaa mtoto wa kwanza, CUSH( Weusi wote Kusini ya Jangwa la Sahara, weusi wote wenye nywele laini wa India, Sirilanka, Papua, Vunuatu na Visiwa vya Pasifiki).HAM Mtoto wa Pili ni (Mizraim au MISRI alikaa hapo Misri au Egypt na Palestina walikaa Sinai). HAM Mtoto wa tatu ni PUT( Ambao ni Libya, Tunisia, Morocco, Algeria, Mauritania na Sahara Magharibi). HAM Mtoto wake wa Nne ni CANAAN( Kizazi chake kiliangamizwa na Israel, hakipo) kilikaa Sinai na Eneo la Israel ya leo.Wale si waafrika, mipaka ya mabara imewaingiza ili ramani ya afrika iwe imetengenishwa na maji na mabara mengine. Ndio maana huwa hakuna hamasa sana timu zao zinapofika hatua za juu kwenye michuano ya kidunia tofauti na nchi za weusi. Tunisia ni nchi ya ulaya yenye unasaba na uarabu iliyopo afrika. Morocco, algeria, misri na tunisia zina nyodn sana kwa waafrika wenzao na ndiyo maana wapo kwenye umoja wa nchi za kiarabu duniani
Wapemba wote wanasema hivyo kujinasibisha na kitu kinaitwa usta-arabu.Eti unasema Mwarabu sio rangi?....
Kwa hiyo wewe ni Mwarabu...hahahaha...
Ila umesema mstaarabu=mwarabuMimi ni Mstaarabu.
Wewe sio mstaarabu?
Hii story umetoa wapi?????Kwenye vitabu vya wayahudi au waarabu???Tunisia ya Ulaya watoke wapi?, Bara la Africa ni watoto wa Ham, alie mtoto wa Nuh. HAM alizaa mtoto wa kwanza, CUSH( Weusi wote Kusini ya Jangwa la Sahara, weusi wote wenye nywele laini wa India, Sirilanka, Papua, Vunuatu na Visiwa vya Pasifiki).HAM Mtoto wa Pili ni (Mizraim au MISRI alikaa hapo Misri au Egypt na Palestina walikaa Sinai). HAM Mtoto wa tatu ni PUT( Ambao ni Libya, Tunisia, Morocco, Algeria, Mauritania na Sahara Magharibi). HAM Mtoto wake wa Nne ni CANAAN( Kizazi chake kiliangamizwa na Israel, hakipo) kilikaa Sinai na Eneo la Israel ya leo.
Kwahiyo hakuna wazungu hapo wote ni Waafrika.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Rais wa Tunisia, Kais Saied, ameuambia mkutano wa maafisa wa usalama kwamba wahamiaji ni sehemu ya kampeni pana ya kubadilisha muundo wa idadi ya watu wa nchi hiyo na kuifanya "ya Kiafrika zaidiKasemaje?
Maana ya usta-arabuIla umesema mstaarabu=mwarabu
zipo sudani mbili, ile ya kaskazini ni ya waarabu na wapo kwenye umoja wao dunianianiMbona Sudan hujaitaja
weka hiyo speech yote siyo kipande unachokipenda weweKaongea mengi ila kwa kifupi wakazi wa afrika kaskazini hawapo tayari kuchangamana na waafrika wanaotoka kusini mwa jangwa la sahara.