Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Kwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.

Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu, majina yetu, imani zetu na tamaduni zetu na kukumbatia vya wageni na kuita vya mababu zetu ushenzi.

Waafrika Wabantu hatujitambui na nafasi yetu katika hii Dunia

=====

Tunisia’s president, Kais Saied, has told a meeting of security officials that migrants are part of a wider campaign to change the demographic makeup of the country and make it “purely African”.
Kumekua na maandamano ya wananchi wake kumtaka ajiuzulu/atengue kauli kutokana na hiyo kauli. Pia maandamano ya kupinga ubaguzi yaliyofanywa na watunisia wenyewe
AP23056616685081-640x400.jpg
 
Wenzetu wanalinda races zao pamoja na generation yao kutochangamana na migrants (wazamiaji).

Kwa sababu itapoteza uhalisia wa chimbuko lao na asili yao.​
 
Nenda north darfur uangalie wabantu na waarabu wote lugha moja ila kinachowagombanisha ni nini.Kama uarabu sio rangi faiza
Wewe kweli juha, juzijuzi tu walivyouliwa na kufukuzwa Waafrika huko Afrika Kusini walifukuzwa kwa rangi zao? Au umesahau?
 
Back
Top Bottom