Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #81
Wao sio waafrika zaidi.Ni waarabu zaidiRais wa Tunisia, Kais Saied, ameuambia mkutano wa maafisa wa usalama kwamba wahamiaji ni sehemu ya kampeni pana ya kubadilisha muundo wa idadi ya watu wa nchi hiyo na kuifanya "ya Kiafrika zaidi
Ebu tuwekee wewe kipande unachopenda cha hotuba ya Mh Kaisweka hiyo speech yote siyo kipande unachokipenda wewe
Sudan ipo moja tu, hiyo nyingine ni South Sudanzipo sudani mbili, ile ya kaskazini ni ya waarabu na wapo kwenye umoja wao dunianiani
Weka na picha ya janja weeed Faiza.Au janja weed huwajui
wewe ndiye uliyeleta mada hapa na ili tuweze kuijadili kihaki inabidi kuipata yote na siyo kipande tuEbu tuwekee wewe kipande unachopenda cha hotuba ya Mh Kais
Kumekua na maandamano ya wananchi wake kumtaka ajiuzulu/atengue kauli kutokana na hiyo kauli. Pia maandamano ya kupinga ubaguzi yaliyofanywa na watunisia wenyeweKwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.
Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu, majina yetu, imani zetu na tamaduni zetu na kukumbatia vya wageni na kuita vya mababu zetu ushenzi.
Waafrika Wabantu hatujitambui na nafasi yetu katika hii Dunia
=====
Tunisia’s president, Kais Saied, has told a meeting of security officials that migrants are part of a wider campaign to change the demographic makeup of the country and make it “purely African”.
Hawa waahabeshi ndio uwaite waarabu.Ebu nenda gaza uone wanavyobaguliwaUarabu si jina na sio rangi.
View attachment 2533829
Darfur hao, wana tofauti ipi na wewe?
Nahawa Wapalestina, wana tofauti ipi na wewe?... View attachment 2533831
Siwajui, weka wewe. Darsa limekuingia.Weka na picha ya janja weeed Faiza.Au janja weed huwajui
Kama hujaisikia au hukua kwenye maandamano pale tunis kuipinga kauli hii usichangie utapotosha umma.wewe ndiye uliyeleta mada hapa na ili tuweze kuijadili kihaki inabidi kuipata yote na siyo kipande tu
bibe upo? Huwa unapotea sana mamaaSource of your information please.
Wanalinda kwa waafrika tu ila sio race zingineWenzetu wanalinda races zao pamoja na generation yao kutochangamana na migrants (wazamiaji).
Kwa sababu itapoteza uhalisia wa chimbuko lao na asili yao.
Nenda shuleKasemaje?
Tunajadiliana kisomi faiza,au hujui maana ya mdahalo unaanza kupanic mpendwaSiwajui, weka wewe. Darsa limekuingia.
Tena mkuu??Nenda shule
Wewe kweli juha, juzijuzi tu walivyouliwa na kufukuzwa Waafrika huko Afrika Kusini walifukuzwa kwa rangi zao? Au umesahau?Nenda north darfur uangalie wabantu na waarabu wote lugha moja ila kinachowagombanisha ni nini.Kama uarabu sio rangi faiza
Reason behind?Ndio ubaguzi huo
Wanalinda kwa waafrika tu ila sio race zingine
Sasa hawa ndio wakweli.Binadamu wote ni sawaKumekua na maandamano ya wananchi wake kumtaka ajiuzulu/atengue kauli kutokana na hiyo kauli. Pia maandamano ya kupinga ubaguzi yaliyofanywa na watunisia wenyeweView attachment 2533833
Nilipie AdaNenda shule