Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Ni hapo inaposhangaza muafrika anakumbatia mila na desturi za hao wabaguzi. Hawa ni kuwaachia hata lile dini lao la balaa walilolieneza afrika. Dini likawa la chuki baina ya wafrika na waafrika. Waafrika ndio kwanza wanajinasibu na wao wana unasaba na watu hao wanaowabagua. Liwalo na liwe atokee kiongozi jasiri wa kiafrika aseme hataki mila, desturi na tamaduni za watu hao wabaki nazo hukohuko kwao
chuki bila mikakati aisaidii leo afirika nzima hakuna rais mweupe wote ni wausi ndio waoongoza duniani kwa wizi wamali za umma chuki bila mikakati kazi bule
 
Sisi waafrika weusi tumebarikiwa. Hao waarabu watajua wenyewe na mafikra yao. Huku sisi tunaendelea kula ugali mboga mboga na maziwa ya mtindi kwa raha zetu. wanaojipendekeza kwao mpaka wanavimba kichwa na kuongea ujinga wa kibaguzi ni wachache kuliko wanaoipenda ardhi yao.
 
Hapo umezunguka tu.Ukweli ni kwamba Arabs ni wabaguzi sana kwa watu weusi/waafrika weusi.Ni hilo tu hakuna kupindisha au kutaja utaifa fulani na lugha zao.
kulalamika bila mipango ni kazi bule hata nyiyi wabagueni tu kwa nini watu kila siku ulialia na kubaguliwa huo nao ni ushenzi wa mtu mweusi tuko kwetu aridhi tunayo mito mabonde mbuga za wanyama bahari misitu madini jitu halina hata haya heti wanatubakua pumbafu hii mzigo mnayo ichagua ikaishia kuiba tuiteje niwaarabu au naludia pumbafu
 
Nani asiejua hilo kuwa kiswahili kina kiarabu ndani?Nimekuuliza Hoja ni ipi hapo ikiwa kiswahili kina kiarabu?Swali langu ni ”hoja ni ipi”
Ungefatilia mjadala ungeelewa. Kwa kukukunbusha tu, mtu kataka kujuwa maana ya ustaarabu.

Nimefurahi kuwa swali lako limejibu vizuri maana ya ustaarabu. Huko ulikokusema "Kiswahili kina Kiarabu" ni ustaarabu huo.

Upo hapo ulipo?
 
Upo sahii Faiza ila niongezee kidogo
Usta = wasta (influence).
Arab = Waarabu (Arabian).

Arabian influence.
Wakati wa ukoloni wa waarabu pwani ya afrika mashariki kuanzia Mogadishu mpaka Sofala,neno ustaarabu lilitumika kuonyesha kua arabian influence ndio bora zaidi kuliko tamaduni au influence za makabila ya wazawa wa pwani yote niliyoitaja hapo juu hasa nyakati za biashara za watumwa.Sasa makabila ya pwani yakawa yanaona bora kufuata arabian influence na kujiita wasta arabu(Kila alichofanya mwarabu kwao kilionekana bora).Kuanzia mavazi,lugha,mapokeo,dini,tamaduni,chakula na majina.Ndio maana huwezi kuona wazawa wa kibantu wanaafiki hili neno,ukitaka kuelewa zaidi kasome kitabu cha safari za wasuheli (Waswahili 1800,s) utaona hii arabian influence ilivyokua na nguvu katika pwani hii ya afrika mashariki kabla ya ujio wa wajerumani na waingereza na wabelgiji na wafaransa.
 
Kwani Ukibaguliwa na mweupe au mzungu kuna shida gani? Nawe Mbague tuache kulia lia na ujinga
Hii aliifanya malcom x ila akafeli kwenye dini.Hata martin luther alifeli kwenye dini.Watu weusi ukiwaletea dini wanagawanyika na kutetea watu weupe mkuu
 
Jamii zote zimetoka kwa Watoto wa 3 wa Nuhu. Japhet amezaa bara la Ulaya, Watoto wa Japhet ni 1.Mtoto Gomeri Japhet nchi zake ni Belarus, Ukraine (Rifat), Ashkenaz (poland, Germany, Uk, Australia Denmark, Sweden, Ireland, Iceland,Finland, Estonia, Lativia, Norway). 2. Mtoto Yavan Japhet nchi zake ni Ugiriki (Elisha), Tarshish (Italy, Malta, France, Spain, Portugal, Austria, Switzerland, Cyprus, South and North America nations). 3. Mtoto Madai Japhet nchi zake ni Moldova, Romania, Bulgaria, Serbia, Slovenia, Crotia. 4. Mtoto Meshaki nchi zake ni Russia. 5. Mtoto Magogu Japhet nchi zake ni Dagestan Russia, Chechnia Russia, Azerbaijan. 6. Mtoto Tubal Japhet nchi zake ni Kazakhstan, Uzbekistan, Kirigistan, Tuva (ndani ya Russia), Siberia (Ndani ya Russia).
Shem Nuh amezaa bara la ASIA, 1. Mtoto Alphaxad Shem nchi zake ni Israel(Ibrahim Isack), Syria, Jordan, Saudi Arabia( Ibrahim Ishmael), Bahrain(Ibrahim + Ketura), Qatar(Ibrahim +Ketura) UAE(Ibrahim+ Ketura), Oman.
2. Ashuru Shem nchi zake ni, Iran, Irak, Afghanistan, Pakistan. 3. Aram Shem nchi zake ni India, Bangladesh, Laos, Nepal, Sirilanka, Indonesia, Thailand. 4. Lud Shem nchi zake ni Mongolian, China, Vietnam, Japan, Philippines, Korean. Ham nilishatoa mataifa yake hapo juu. Hivyo ndivyo mataifa yalivyotoka.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Hii adithi umeitoa wapi????Kwenye vitabu vya wayahudi na waarabu mkuu????Au alikusimulia babu yetu mirambo???
 
Ubaguzi ni sumu mbaya sana na una madhara makubwa sana kwa vizazi mpaka vizazi
kwanini watu weusi ukimbila kusema watu weupe wanawabagua?sija sijawai kusikia mtu mwepe akilia kubaguliwa na mtu mweusi hii tabia yatu ya kishenzi kutojiamini upelekea wanawake kujichuna ngozi na kuvaa mawigi hili wafanane na ngozi nyeupe huo ni ushenzi
 
Hii aliifanya malcom x ila akafeli kwenye dini.Hata martin luther alifeli kwenye dini.Watu weusi ukiwaletea dini wanagawanyika na kutetea watu weupe mkuu
Hakuna unachojua wewe mweupe kichwani eleza wapi Malcolm X alifeli kwenye dini ? tena hapa nitakuumbua kwa ushahidi maana nina file zima kuhusu Malcolm X kukiwa na Audio ,Video pamoja
na vitabu lukuki kuhusu yeye.

Nb: Nakusubiri kwa hamu na kwa kujiamini utoe maelezo kuhusiana na hilo kisha nikupigie KO kwa ushahidi.
 
kwanini watu weusi ukimbila kusema watu weupe wanawabagua?sija sijawai kusikia mtu mwepe akilia kubaguliwa na mtu mweusi hii tabia yatu ya kishenzi kutojiamini upelekea wanawake kujichuna ngozi na kuvaa mawigi hili wafanane na ngozi nyeupe huo ni ushenzi
Watu weupe wanalalamika pia mkuu.Nimeishuudia marekani na afrika kusini na hata namibia na hata chad na mali raia wenye asili ya kiarabu walikua wanalalamika kubaguliwa mkuu.
 
Hakuna unachojua wewe mweupe kichwani eleza wapi Malcolm X alifeli kwenye dini ? tena hapa nitakuumbua kwa ushahidi maana nina file zima kuhusu Malcolm X kukiwa na Audio ,Video pamoja
na vitabu lukuki kuhusu yeye.

Nb: Nakusubiri kwa hamu na kwa kujiamini utoe maelezo kuhusiana na hilo kisha nikupigie KO kwa ushahidi.
Mkuu kutoa maoni ni jambo huru na uwanda mpana hakuna ugomvi.Wasomi waga hatupaniki na kutoa maneno ya kejeli kama""Wewe mweupe kichwani""hayo wanafanya vijana wa chuo wanaochukua degree.Au msomi elimu uliyopata haijakupa uungwana katika kuchangia hoja bila kutumia lugha za kejeli na kuheshimu hoja kinzani na kupinga hoja kwa hoja???
 
Back
Top Bottom