Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #21
Ebu fafanua mkuukuwa mu-africa ni kujidhalilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu fafanua mkuukuwa mu-africa ni kujidhalilisha
kuwa mu-africa ni laanaEbu fafanua mkuu
Ndio vitabu vya wazungu,wayahudi na waarabu vinavyosema mkuu.kuwa mu-africa ni laana
siyo vitabu tu, hata matendo yao kiujumla ni laana tupuNdio vitabu vya wazungu,wayahudi na waarabu vinavyosema mkuu.
Ubaguzi ni ubaguzi tu.Ni sawa na uchawi mkuu.Yuko sahihi. Nchi ni yao wana haki ya kuamua utaratibu wao. Hapo Kenya wameandamana kuwapinga Wachina haionekani kama ubaguzi ilihali nao ni ubaguzi tu.
Hayo matendo jamii nyingine hazifanyagi.siyo vitabu tu, hata matendo yao kiujumla ni laana tupu
1. uchawi
2. uzinzi
3. uvivu
4. uzinzi
5. uzinzi
6. uzinzi
hazifanyi,Hayo matendo jamii nyingine hazifanyagi.
Kweli mkuu waarabu ukiwakuta paris wanalalamika wakibaguliwa ulaya.Lakini wao kuwabagua waafrika wanaona sawaMbona wao wanakimbilia spain na france kila siku
Sawa mkuu naona ulisoma elimu ya mkoloni.Unatusimanga wabantu mkuuhazifanyi,
data zinaonesha, africa ndiyo mnaoongoza kumeza ARV na kufa kwa Ngoma
kubali uko bara la gizaSawa mkuu naona ulisoma elimu ya mkoloni.Unatusimanga wabantu mkuu
Mkuu unatusimanga wabantu.Kwahiyo tupo gizani??kubali uko bara la giza
Tunisia wako sahihi kabisa, Egypt wako sahihi kabisa, Trump naye yuko sahihi kabisa
Ndiyo mko gizaniMkuu unatusimanga wabantu.Kwahiyo tupo gizani??
Sawa mkuu tuletee mwanga na elimu za kigeniNdiyo mko gizani
acheni Ngono kwanzaSawa mkuu tuletee mwanga na elimu za kigeni
Jamii nyingine hazifanyiacheni Ngono kwanza
Unaenda mbali, pemba kama si muungano wale wangekuwa umoja wa kiarabu. Sudani ina waarabu, commoro wale watu wana ushombeshombe fulani hivi mithili ya waarabu. Mbona hujajumuisha madagascar? Ina watu wenye ushombeshombe kama wahindi. Turudi kwenye mada tunisia, misri, algeria, morocco na libya typically ni nchi za kiarabu na wapo kwenye umoja wao duniani. Chad, mali, niger na mauritania zina uarabuarabu japo wengi ni wabantu. Ila hao akina tunisia hata wakisema wajitenge na wabantu waacheni wakaungane na ndugu zao wa bara jingineComoro pia ipo umoja wa kiarabu, na ipo hapo jirani na mkoa wa Lindi na Mtwara.
Sudan (kabla ya kugawiwa sehemu mbili walikua) wamepakana na Kenya na pia wapo umoja wa nchi za Kiarabu.
Sawa watu weusi ni wepesi sana kulaumu wakibaguliwa. Ila wao wakibagua inaonekana kama ni sawa tuUbaguzi ni ubaguzi tu.Ni sawa na uchawi mkuu.
Sasa hao si weupe wenzao?Mbona wao wanakimbilia spain na france kila siku
Upo sahii mkuu,watu weusi na waarabu ni wepesi sana wa kulaumu wakibaguliwa lakini wao wakibagua ni sawa tu.Sawa watu weusi ni wepesi sana kulaumu wakibaguliwa. Ila wao wakibagua inaonekana kama ni sawa tu